Kihonda Kanisani
Member
- Sep 1, 2024
- 37
- 173
Ghawizah,
Naomba msaada kwa yeyeto mwenye kuchora ramani anichoree ramani yenye sifa zifuatazo.
♤ Iwe ya vyumba vitatu(kimoja masta sio selfu tu), sebule na dinning.
♤ Iwe na public toilet.
♤ Kweny masta kuwe na nafasi ya kitanda ,kabati la nguo .
♤ Dinning iwe na uwezo wa kukaa meza ya chakula na viti vinne .
♤ Jiko stoo na choo cha nje vitajengwa pembenì ya kiwanja.
♤ Angle ya paa iww nzuri isichongoke kama watu wa katoro.
♤ Madirisha yawe ya kawaida isipokua sebuleni yawe makubwa zaidi.
♤ Mtu akiwa sebuleni asimuone anayeingia kwenye masta room au publc toilet.
NB: malipo yapo ya kishkaji kama kupeana pole.
Ukiogopa kutoa ramani bure toa ground plan nikiridhia sawa.
Comments
Naomba msaada kwa yeyeto mwenye kuchora ramani anichoree ramani yenye sifa zifuatazo.
♤ Iwe ya vyumba vitatu(kimoja masta sio selfu tu), sebule na dinning.
♤ Iwe na public toilet.
♤ Kweny masta kuwe na nafasi ya kitanda ,kabati la nguo .
♤ Dinning iwe na uwezo wa kukaa meza ya chakula na viti vinne .
♤ Jiko stoo na choo cha nje vitajengwa pembenì ya kiwanja.
♤ Angle ya paa iww nzuri isichongoke kama watu wa katoro.
♤ Madirisha yawe ya kawaida isipokua sebuleni yawe makubwa zaidi.
♤ Mtu akiwa sebuleni asimuone anayeingia kwenye masta room au publc toilet.
NB: malipo yapo ya kishkaji kama kupeana pole.
Ukiogopa kutoa ramani bure toa ground plan nikiridhia sawa.
Comments