Tuzungumze kuhusu ramani ya nyumba ndogo ya kuishi

Tuzungumze kuhusu ramani ya nyumba ndogo ya kuishi

Joined
Sep 1, 2024
Posts
37
Reaction score
173
Ghawizah,

Naomba msaada kwa yeyeto mwenye kuchora ramani anichoree ramani yenye sifa zifuatazo.
♤ Iwe ya vyumba vitatu(kimoja masta sio selfu tu), sebule na dinning.
♤ Iwe na public toilet.
♤ Kweny masta kuwe na nafasi ya kitanda ,kabati la nguo .
♤ Dinning iwe na uwezo wa kukaa meza ya chakula na viti vinne .
♤ Jiko stoo na choo cha nje vitajengwa pembenì ya kiwanja.
♤ Angle ya paa iww nzuri isichongoke kama watu wa katoro.
♤ Madirisha yawe ya kawaida isipokua sebuleni yawe makubwa zaidi.
♤ Mtu akiwa sebuleni asimuone anayeingia kwenye masta room au publc toilet.


NB: malipo yapo ya kishkaji kama kupeana pole.

Ukiogopa kutoa ramani bure toa ground plan nikiridhia sawa.

Comments
 
Yoo kiongoz habari yako,, nmeiona concern yako and I think, I can do something

Anyway nikipata muda wa ziada nitakuandalia.
 
IMG_4917.png
 
Ghawizah,

Naomba msaada kwa yeyeto mwenye kuchora ramani anichoree ramani yenye sifa zifuatazo.
♤ Iwe ya vyumba vitatu(kimoja masta sio selfu tu), sebule na dinning.
♤ Iwe na public toilet.
♤ Kweny masta kuwe na nafasi ya kitanda ,kabati la nguo .
♤ Dinning iwe na uwezo wa kukaa meza ya chakula na viti vinne .
♤ Jiko stoo na choo cha nje vitajengwa pembenì ya kiwanja.
♤ Angle ya paa iww nzuri isichongoke kama watu wa katoro.
♤ Madirisha yawe ya kawaida isipokua sebuleni yawe makubwa zaidi.
♤ Mtu akiwa sebuleni asimuone anayeingia kwenye masta room au publc toilet.


NB: malipo yapo ya kishkaji kama kupeana pole.

Ukiogopa kutoa ramani bure toa ground plan nikiridhia sawa.

Comments
Mcheki Hechy Essy
 
Ghawizah,

Naomba msaada kwa yeyeto mwenye kuchora ramani anichoree ramani yenye sifa zifuatazo.
♤ Iwe ya vyumba vitatu(kimoja masta sio selfu tu), sebule na dinning.
♤ Iwe na public toilet.
♤ Kweny masta kuwe na nafasi ya kitanda ,kabati la nguo .
♤ Dinning iwe na uwezo wa kukaa meza ya chakula na viti vinne .
♤ Jiko stoo na choo cha nje vitajengwa pembenì ya kiwanja.
♤ Angle ya paa iww nzuri isichongoke kama watu wa katoro.
♤ Madirisha yawe ya kawaida isipokua sebuleni yawe makubwa zaidi.
♤ Mtu akiwa sebuleni asimuone anayeingia kwenye masta room au publc toilet.


NB: malipo yapo ya kishkaji kama kupeana pole.

Ukiogopa kutoa ramani bure toa ground plan nikiridhia sawa.

Comments
Nicheki 0757552515 kwa Ramani hio unayoitaka ila sample ni kama hizi zote zinasifa ulizotaja
 

Attachments

  • 1B.jpg
    1B.jpg
    2.1 MB · Views: 24
  • 3B.jpg
    3B.jpg
    2.2 MB · Views: 22
  • 1C.jpg
    1C.jpg
    2.4 MB · Views: 30
  • PSX_20230418_200018.jpg
    PSX_20230418_200018.jpg
    340.3 KB · Views: 25
  • 9.jpg
    9.jpg
    1.7 MB · Views: 25
  • 3.jpg
    3.jpg
    1.5 MB · Views: 26
Back
Top Bottom