Kwa akili hizo kwamba tulio comment hatujui mpira, basi huko tunakoenda utatuambia Ramos aliyecheza ile mbinu siyo mchezaji.mkuu humu kuna mashabiki wa mpira ..wapenz wa mpira na wanaojua mpira ni wachache mno na utawajua kwa comments zao,
kwanza hata haikuwa foul kama ulikuwa makini mpira uliendelea mpaka pale ulipotolewa nje.
Salah alianza kuingiza mkono kwa Ramos na kwakutumia uzoefu Ramos alitake advantage.
yale mambo kwenye mpira ni ya kawaida sana, rejea 2016 ktk fainali ya EURO Ronaldo alichezewa rafu na Payet na ilikuwa kama vile alitolewa na walibeba ndoo.
kufungwa kwa Liverpool hakuhusiani kutoka kwa Salah japo alitoka lakini Liverpool walipata goli mimi nasema walifeli ktk mbinu na ubovu wa kipa wao, so kutoka kwake isiwe excuse hapa.
FOOTBALL IT'S ALL ABOUT PHYSICAL CONTACT
Get Well Soon Salah
Sasa hapo refa unamlaumu kwa lipi wakati wewe mwenyewe baada ya slow motion ndiyo ukagundua unacho kilalamikia. Sala mwenyewe hajui nini kilitokea, mwishowe mtaanza kumlaumu zidane kwa kumpanga au kutomtoa Ramos.Ramos alifanya makusudi kinachoshangaza mwamuzi alikuwa karibu lakini hakujali.Ile ni tabia ya Ramos,ana mambo ya kihuni ,alifanya hivyo baada ya kuona hali ni mbaya kwao.
Jitu linacheza mieleka na ng'ombe dume, kichaa lililohasiwa halafu kanakuja kamtu kuingiza vimkono vyake.Kazi ya ramos ni defensing hivyo alichokifanya ni kumzuia adui that's all. Weather alifanya bahati mbaya au kusudi lakini alikuwa anafanya kazi yake.
•Technically
•Defensive
•Aggresive
•Stongest
Nadhan umejushajua Mo sarah alikutana na jitu la namna gani.
Hata angempiga kichwa kisingekuwa kipya kwani Zidane alishampiga Materazi Kombe la duniaSema watu wengine wanapiga kelele tu.
Hakuna kitu cha ajabu Ramos amefanya hakijawahi kuwepo kwenye soka.
Kila mpenda mpira anaumia kuona mchezaji anapata majeraha uwanjani ila hili la Salah watu wanazidisha kulalamika wanasahau huo ndio mpira na walioangalia ile mechi wanaona kabisa Salah ndio alianza kuingiza mkono sasa sijui wanataka Salah asikabwe.
Salah sio mchezaji wa kwanza kuumia uwanjani.
Liver walizidiwa uwanjani hata ball possession wamezidiwa mbali sana sema wamepata kisingizio cha Karius na kuumia Salah.
Ningekutukana lakini basi tuu,ina maana hujui kazi ya refa!Sasa hapo refa unamlaumu kwa lipi wakati wewe mwenyewe baada ya slow motion ndiyo ukagundua unacho kilalamikia. Sala mwenyewe hajui nini kilitokea, mwishowe mtaanza kumlaumu zidane kwa kumpanga au kutomtoa Ramos.
Kabisa! Wanaolaani inabidi watambue s.ramos ni wazimu namna gani?Jitu linacheza mieleka na ng'ombe dume, kichaa lililohasiwa halafu kanakuja kamtu kuingiza vimkono vyake.
Salah alitakiwa atambue kuwa anacheza na beki ya La Liga siyo EPL
[emoji122][emoji122][emoji122]Ushabiki wa kindaki ndaki mbaya
Mchezo wa mpira una mambo mengi sana
Unapoingia uwanjan unatakiwa uwe makin sababu unaingia sehem ya vita lolote laweza tokea
Swala la salaah kuumia kwangu naona kama ni swala la technic za mpira ukizingatia ramos ni bek
Salaah angefanikiwa kumpita ramos leo hapa usinge andika ichi ulicho andika yawezekana ungetukana matus mengi zaid
Ila napenda nikwambia mtoto hata akiwa mkubwa hawez lingana na baba yake
majibu tayari mbona, dogo ataikosa fifaok basi tusubiri official release ya majibu ya daktari nadhani atakua proud sana kama ikigundulika kavunjika bega
Ila wanaelekeza kumdhibiti mchezaji fulani wa timu pinzani. Ni mbinu maarufuhamna mbinu ya mpira inayoruhusu rafu ..hata makocha wa mtaani haezi mwelekeza beki kua acheze rafu
sio hao tu...Leo humu naona COMBO ya mashabiki wa liver na barca.
Mane na yy hajui technique za rafu, rafu gani ile...kufika tu na kumsukuma tena mbele ya refaMie nadhan wapenzi wa EPL hawajazoea rafu za ramos. Jamaa ndo zake hizo kule LA LIGA,ukiangalia yellow kadi ya mane utabaki unashangaa huyu ramos vipi
Hawajajifunza toka kwa tim nyingine ambazo baada ya main player wao kuondoka zimeyumba.Mkuu tatizo lingne ni kwamba timu ya Liverpool imejengwa kwa kumzunguka mtu mmoja tu Salah na alivyotoka hakukua na kipya tena kwa Liverpool.
Ume fafanua vizuri. Watu wache kulialia. Football is war, ndio kilichotokea jana.Kazi ya ramos ni defensing hivyo alichokifanya ni kumzuia adui that's all. Weather alifanya bahati mbaya au kusudi lakini alikuwa anafanya kazi yake.
•Technically
•Defensive
•Aggresive
•Stongest
Nadhan umejushajua Mo sarah alikutana na jitu la namna gani.
Mane na yy hajui technique za rafu, rafu gani ile...kufika tu na kumsukuma tena mbele ya refa
Kumbuka wote walikuwa kwenye move , wanakimbia huku salah akijarib kumsukuma ramos, na ramos akijarib ku oppose.unaweza kuniambia kwanini picha ya kwanza ramos kaung'ang'ania mkono hadi chini na akamaliza kwa kuulalia eti tu kwamba salah aliu lock mkono wake kwenye mkono wa ramos?!