Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Ndio zinaitwa mbinu za kushinda mechi kwa vyovtote vile. Maana mechi ni moja na haina marudio.Ramos alifanya makusudi kinachoshangaza mwamuzi alikuwa karibu lakini hakujali.Ile ni tabia ya Ramos,ana mambo ya kihuni ,alifanya hivyo baada ya kuona hali ni mbaya kwao.
Kwa madrid key player ni Ronaldo ila anapokua hafanyi vizuri haimaanishi Madrid haifanyi vizuri option zinakua ni nyingi sana so kwa game ya jana Liverpool lawama zote ni kwa kocha wao hakua na plan B wachezaji wake aliwajengea imani kwamba everything is Salah alivotoka ndio basi game kwa upande wao ikawa imekwama.Hawajajifunza toka kwa tim nyingine ambazo baada ya main player wao kuondoka zimeyumba.
Baada ya salah kutoka, liverpool wamerud nyuma. Wamekosa confidence, so unaona timu nzima ilikuwa haina option B , iwapo salah ataumia
Thats right. Alijiamini kupita kiasi. Wazungu wanasema overconfidence makes you careless.Kwa madrid key player ni Ronaldo ila anapokua hafanyi vizuri haimaanishi Madrid haifanyi vizuri option zinakua ni nyingi sana so kwa game ya jana Liverpool lawama zote ni kwa kocha wao hakua na plan B wachezaji wake aliwajengea imani kwamba everything is Salah alivotoka ndio basi game kwa upande wao ikawa imekwama.
nakujibu hoja sio ushabiki...Kwa akili hizo kwamba tulio comment hatujui mpira, basi huko tunakoenda utatuambia Ramos aliyecheza ile mbinu siyo mchezaji.
akatolewa kwa kadi nyekundu sababu alionwa mana ni unfair play. na matokeo ya ujinga wake wakapoteza ubingwa.Hata angempiga kichwa kisingekuwa kipya kwani Zidane alishampiga Materazi Kombe la dunia
Kwani refa hakuwepo? Mpira wa miguu kama mchezaji akifanya kosa huadhibiwa kwa kupewa kadi ama ya njano au nyekundu. Sasa thibitisha kosa alilofanya mtaalam Ramos (japo mie simpendi kwa kutufunga dakika za mwishoni kwenye El Classico). Hata mtuhumiwa huthibitishwa mkosaji na hakimu tu.Kama kuna jambo lililoumiza wapenzi wa mpira wasio washabiki wa mpira, ni kitendo cha Ramos kufanya niseme dirty game au faulo mbaya ambayo alimfanyia Mo Salah
Binafsi pia nilijiskia vibaya, ila sasa tuzungumzie kwamba wengine wanasema bahati mbaya, wengine wanasema alidhamiria na wengine wanasema ilikua ni game plan baada ya kuona wanashambuliwa kwa dakika nyingi za mwanzoni kabla ya yeye kuumizwa na kutoka.
Sasa kwa taarifa zilizopo ni kwamba ameumia sana kwenye mifupa ya bega na huenda akakosa michuano ya kombe la dunia,
Tukiacha ushabiki, hivi ile haikua makusudi kweli? Kwanini aliung'ang'ania mkono hadi kwenda chini. ?
Huko kwenye akaunti yake ya instagram anatukanwa sana ila jamaa anachekelea tu, nafikiri angetumia fursa hii kutoa neno la kuomba radhi, ila wanasema hii sio mara ya kwanza kufanya hivyo kwa wachezaji hasa katika mechi za fainali.
hahaha kabisa, na angeweza kufanya vizuri zaidi....Mane anajua kwakweli.Ni ugeni wa ligi khbwa na presha ya mechi ilisababisha. Mane angeangalia ile gemu ya mwisho ya barca na madrid akamuiga messi kumlisha mitama ya kiufundi ramos bila refa kushtukia
Kwa hiyo Ramos siyo mchezaji na hajui mpira!nakujibu hoja sio ushabiki...
eti unaiita "mbinu"...kwaio kumbe kwenye mpira wa miguu wanaposema fair play hua mnaelewa nini ?
sasa nakujibu kama mpenzi wa mpira wa miguu
ramos ni mchezaji wa mpira wa miguu, na nafasi yake ni beki. kitendo alichofanya ni cha kihuni na unfair play. nimemaliza.
Ha ha haaaaasio hao tu...View attachment 787547
Umeandika mengi ila ni ujinga tu..faulo ngapi waamuzi huziacha na kuzua lawama!?,..kabla salah hajatoka hali ya mchezo ilikuaje?!..salah mfupi anaanzaje kuingiza mkono ndani ya mkono wa ramos!!?..alianza marcelo kucheza rafu kwa sala mara mbili..hazikwenda kama alibotarajiakwanza hata haikuwa foul kama ulikuwa makini mpira uliendelea mpaka pale ulipotolewa nje.
Salah alianza kuingiza mkono kwa Ramos na kwakutumia uzoefu Ramos alitake advantage.
yale mambo kwenye mpira ni ya kawaida sana, rejea 2016 ktk fainali ya EURO Ronaldo alichezewa rafu na Payet na ilikuwa kama vile alitolewa na walibeba ndoo.
kufungwa kwa Liverpool hakuhusiani kutoka kwa Salah japo alitoka lakini Liverpool walipata goli mimi nasema walifeli ktk mbinu na ubovu wa kipa wao, so kutoka kwake isiwe excuse hapa.
FOOTBALL IT'S ALL ABOUT PHYSICAL CONTACT
Get Well Soon Salah