Mechi mhimu kama ile sio ya kumlalamikia ramos hata kidogo mkuu.Mkuu Sisi mashabiki tunaendaga uwanjani kuangalia burudani. Hatuendi kuangalia mieleka pale.
Beki ukipitwa na forward tunasubiri tuone uhodari wa kipa langoni.
Sasa we ukipitwa unapiga mieleka.
Ile sio football hata kdg.
Am telling you that.
Hamna anayemlalamikia Ramos. Hapa tunaongeaga ukweli Tu.Mechi mhimu kama ile sio ya kumlalamikia ramos hata kidogo mkuu.
Umemeza debe la Omo,ninachojua hata Madrid wenyewe hawajafurahia huu ubingwa,una doa.Hivi mngepata kadi nyekundu hii mechi si mngeua mtu??
11 vs 11, mnatoka povu la hatari. Hii ndio maana mimi nilitaka liver wafungwe maana mnajifanya mnajua sana kuongea, katoka Mo Salah kwa faulu ya kawaida tu ila bahati mbaya timu nzima imeshindwa cheza sababu ya kutegemea mtu mmoja, sasa mnatafuta mchawi!
Na mpigwe tu, msimu wa tatu huu kwa Klopp akiwa Liver, kwa gundu na midomo ya mashabiki wa liver, ataendelea kuchukua ubingwa wa gengen pressing tu.
πππππππ...watu Madrid City huko wanakula pilau la ushindi wewe unajipa tumaini hapa. Mm mmoja wao nafurahia sana na hakuna doa. Ramos, super captain "mutu mbaya" imetumwa kazi naimeifanya kazi.Umemeza debe la Omo,ninachojua hata Madrid wenyewe hawajafurahia huu ubingwa,una doa.
Endelea kujipa moyo, ndoo ya 13 na imewekwa kwenye historia. Mo Salah ni nani kwa Madrid wasifurahie ubingwa wa jasho lao?? Aliumizwa CR7 europe cup na maisha yakaendelea, alipewa kadi nyekundu BECKHAM wa Uingereza kombe la dunia na maisha yakaendelea sembuse Mo Salah huyu ambaye bado hajashinda hata kombe moja??Umemeza debe la Omo,ninachojua hata Madrid wenyewe hawajafurahia huu ubingwa,una doa.
KWa aliyewahi kucheza mpira hawezi kushangaa lile tukio hata kidogo. Kazi ya beki ni kufanya kila awezalo kupunguza nguvu ya washindani wao. Na kazi ya foward ni kufanya kila awezalo kupata bao, iwe kwa kujirusha au hata kusababisha kupigwa. Lengo ni BAO.Kama kuna jambo lililoumiza wapenzi wa mpira wasio washabiki wa mpira, ni kitendo cha Ramos kufanya niseme dirty game au faulo mbaya ambayo alimfanyia Mo Salah
Binafsi pia nilijiskia vibaya, ila sasa tuzungumzie kwamba wengine wanasema bahati mbaya, wengine wanasema alidhamiria na wengine wanasema ilikua ni game plan baada ya kuona wanashambuliwa kwa dakika nyingi za mwanzoni kabla ya yeye kuumizwa na kutoka.
Sasa kwa taarifa zilizopo ni kwamba ameumia sana kwenye mifupa ya bega na huenda akakosa michuano ya kombe la dunia,
Tukiacha ushabiki, hivi ile haikua makusudi kweli? Kwanini aliung'ang'ania mkono hadi kwenda chini. ?
Huko kwenye akaunti yake ya instagram anatukanwa sana ila jamaa anachekelea tu, nafikiri angetumia fursa hii kutoa neno la kuomba radhi, ila wanasema hii sio mara ya kwanza kufanya hivyo kwa wachezaji hasa katika mechi za fainali.
Mkuu tuyaache hayo weather jamaa hakufanya fair au laa.Hamna anayemlalamikia Ramos. Hapa tunaongeaga ukweli Tu.
Mechi ya Jana watu wameenda kuangalia burudani itakayotolewa na wachezaji wote 22 Kwa kila upande.
Sasa we kumuumiza mchezaji mwingine Kwa makusudi unategemea nini.
Ndio mana unaona watu wanampa lawama hasa yeye Kwa kuwa mechi ya Jana ilikuwa ina uzito wake zaidi.
Mbona akimchezeaga rafu Messi huwa inapotezewa Tu kawaida.
Kumkosa Mo Jana kuna kitu kilipungua.
Yule ni mchezaji wa muhimu Sana.
Tuache ushabiki wa kimaandazi.
Elewa alichokifanya Ramos sio cha kiungwana.
Umeona Nani ameunga mkono Kwa aliyoyafanya.
Barcelona kachukua La ligaMkuu tuyaache hayo weather jamaa hakufanya fair au laa.
Ubingwa nani kachukua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa sawa.Barcelona kachukua La liga
Wewe ni shabiki mkuu, mpira unaujua kwa kuangalia kwenye Tv.Kama kuna jambo lililoumiza wapenzi wa mpira wasio washabiki wa mpira, ni kitendo cha Ramos kufanya niseme dirty game au faulo mbaya ambayo alimfanyia Mo Salah
Binafsi pia nilijiskia vibaya, ila sasa tuzungumzie kwamba wengine wanasema bahati mbaya, wengine wanasema alidhamiria na wengine wanasema ilikua ni game plan baada ya kuona wanashambuliwa kwa dakika nyingi za mwanzoni kabla ya yeye kuumizwa na kutoka.
Sasa kwa taarifa zilizopo ni kwamba ameumia sana kwenye mifupa ya bega na huenda akakosa michuano ya kombe la dunia,
Tukiacha ushabiki, hivi ile haikua makusudi kweli? Kwanini aliung'ang'ania mkono hadi kwenda chini. ?
Huko kwenye akaunti yake ya instagram anatukanwa sana ila jamaa anachekelea tu, nafikiri angetumia fursa hii kutoa neno la kuomba radhi, ila wanasema hii sio mara ya kwanza kufanya hivyo kwa wachezaji hasa katika mechi za fainali.
Wakipenda wamuite Sergio Ramos JAMBAZI. Jamaa ni super captain.πππππππ...watu Madrid City huko wanakula pilau la ushindi wewe unajipa tumaini hapa. Mm mmoja wao nafurahia sana na hakuna doa. Ramos, super captain "mutu mbaya" imetumwa kazi naimeifanya kazi.
ok.Wewe ni shabiki mkuu, mpira unaujua kwa kuangalia kwenye Tv.
mkuu humu kuna ushabiki maandazi bora tujikalie kimya tunaambiwa hatujui mpira wao ndo wanajua mpira na sheria 17 za soka.Hamna anayemlalamikia Ramos. Hapa tunaongeaga ukweli Tu.
Mechi ya Jana watu wameenda kuangalia burudani itakayotolewa na wachezaji wote 22 Kwa kila upande.
Sasa we kumuumiza mchezaji mwingine Kwa makusudi unategemea nini.
Ndio mana unaona watu wanampa lawama hasa yeye Kwa kuwa mechi ya Jana ilikuwa ina uzito wake zaidi.
Mbona akimchezeaga rafu Messi huwa inapotezewa Tu kawaida.
Kumkosa Mo Jana kuna kitu kilipungua.
Yule ni mchezaji wa muhimu Sana.
Tuache ushabiki wa kimaandazi.
Elewa alichokifanya Ramos sio cha kiungwana.
Umeona Nani ameunga mkono Kwa aliyoyafanya.
Good.
Ulipotoa maelezo ulikua unatakaje!?kwahiyo ulitakaje labda??
Technic za kuvunjana mabega ?Kwa bahat nzur nimefatilia kwa umakin sana hilo tukio ukisema tukio la kinyama ina mana ramos alistahil kadi nyekundu
Ebu angalia mwanzon kabisa hili tukio lilikuwaje hadi kuangaka na kuvunjika bega
Mim naona izo ni technc za mchezo tuuuView attachment 787466
yani nauliza ulitaka niandike nini maana nilichoandika mimi wewe umesema nimeandika pumba sijui ujinga ndo nakuuliza ulitakaje sasa??Ulipotoa maelezo ulikua unatakaje!?