Tuzungumzie alichofanya Ramos kwa Salah

Mwamuzi Caynet cakiri aliwahi kumzawadia red card Luis Nani kwa kumchezea rafu ya kipumbavu hivyo Alvaro albeloa kwenye robo fainali kati ya madridi na Man U old Trafford .
Nani alinyanyua mguu kupokea mpira Albeloa akiingia mzima mzima baada ya contact ya mguu wa Nani na Tumbo la Albeloa Nani aliongeza force kwenye mguu kusukuma badala ya kupokea mpira tu.
Refa alitoa red card.
Yawezekana kabisa wakati wanalock arms hakua na intention to injure lakini baada ya kumuona salah yuko kwenye dangerous position Ramos akatumia advatage hiyo hivyo ana intention to injure ikawa formulate in his mind
 
Mikinda ya ndege inalia lia.

Hivi mlitaka mshinde nyinyi kwa kiwango gani?

Mlitaka sisi tusishinde na kuweka historia au mnaumia mchezaji fulani kubeba vikombe vingi kuliko nyie?

Madrid ndio washindi kakateni rufaa basi.
 
Kazi aliyotumwa kafanya na mojawapo ya mbinu za kumtoa mchezaji uwanjanj kisaikolojia ndio kama vile
 
Umelewa nini!!?..wapi nimekulazimisha uamini ninachokiamini!!?..contact sport sawa,lakini sheria za nini!?..au ulitaka uandike halafu wengine tusome tu na kukuoa like!!!?..hapa si mahali pa namna hyo,vitabu tunasoma wote ndiyo,kila mtu anakua na mtazamo wake ..sawa..ila mwisho wa siku kila mtu anakua na alama/marks zake..mmoja anakua katika mrengo sahihi wakati mwingine ni arijojo
 
Exactly
 
Ramos ni mhuni sana, ile rafu alidhamiria hata kabla ya kuingia uwanjani. Salah angekuwa na experience kubwa kucheza Europe huenda angetambua namna ya kupambana na watu kama akina Ramos, Mascherano, Pepe, Godin, Gatusso n.k
 
Yaan Salah aliacha kufunga kisa fainali na akaumia mapema hata ivyo ile faulo ilikuwa ya bahati mbaya Sio makusudi
Mkuu, achana na mabeki kama akina Ramos. Wale watu wanajua kupambana na washambuliaji wasumbufu kiakili, kimbinu na kimwili.
 
Ramos muhuni sana kuna moja nimeona alimpiga ngumi ya kichwa kipa refa hakuiona kabsa

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha ha ha pia refa hakuiona, mimi namfahamu Ramos muda sana. Yule jamaa huwa anajua kupambana mbali na mbinu za kimchezo. Akiamua kukutoa mchezoni anakutoa kirahisi tu.
 
ulivyosema nimeandika ujinga kwa maana wewe ndiyo ulikuwa sahihi kwamba ulikuwa unanisahihisha huoni kama ulikuwa unaniweka kwenye mawazo yako??

let's end here lad
 
Kwenye mchezo huo kule Spain anaitwa "THE BEAST"
Halafu binaadam laini kama Salah anamzuia kwa mkono huku kanyoosha vidole kitaarabu.
All in all Ramos yupo vizuri sana, yaliyompata Salah ni sababu ya aina ya mtu aliyekutana naye. Salah alipaswa kujifunza kutoka kwa Messi ni jimsi gani ana mmudu Ramos
 
pole sana.. Maumivu ya kichwa yanaanza kidogo kidogo
. usihofu baada ya siku mbili tu utasahau maumivu
 
Wakati unapiga ramli hapa jf mwenzako yuko anasherekea kombe...

Kwa kifupi hujui mpira na umejaa ushabiki maandazi...
 
Meza panadol mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…