Tuzungumzie alichofanya Ramos kwa Salah

Tuzungumzie alichofanya Ramos kwa Salah

Mwamuzi Caynet cakiri aliwahi kumzawadia red card Luis Nani kwa kumchezea rafu ya kipumbavu hivyo Alvaro albeloa kwenye robo fainali kati ya madridi na Man U old Trafford .
Nani alinyanyua mguu kupokea mpira Albeloa akiingia mzima mzima baada ya contact ya mguu wa Nani na Tumbo la Albeloa Nani aliongeza force kwenye mguu kusukuma badala ya kupokea mpira tu.
Refa alitoa red card.
Yawezekana kabisa wakati wanalock arms hakua na intention to injure lakini baada ya kumuona salah yuko kwenye dangerous position Ramos akatumia advatage hiyo hivyo ana intention to injure ikawa formulate in his mind
 
Mikinda ya ndege inalia lia.

Hivi mlitaka mshinde nyinyi kwa kiwango gani?

Mlitaka sisi tusishinde na kuweka historia au mnaumia mchezaji fulani kubeba vikombe vingi kuliko nyie?

Madrid ndio washindi kakateni rufaa basi.
 
Kazi aliyotumwa kafanya na mojawapo ya mbinu za kumtoa mchezaji uwanjanj kisaikolojia ndio kama vile
 
yani nauliza ulitaka niandike nini maana nilichoandika mimi wewe umesema nimeandika pumba sijui ujinga ndo nakuuliza ulitakaje sasa??

ngoja nikuambie kitu mkuu, mpira ni kama vile vitabu tunavyosoma darasani kama Ngoswe, Takadini, Three Suitors One Husband, Pass Like A Shadow and all stuffs like that na siku ya mtihani kila mtu atakuwa na jibu lake tho kitabu mlisoma pamoja.

same to mpira wote tumeangalia kwa pamoja tukio tumeangalia kwa pamoja mimi nimeona nilichopresent hapa wewe pia umeona ulichoona tho hujakiwakilisha.

ubaya zaidi unataka kunilazimisha kile unachoamini wewe na mimi niamini hicho hicho na hapo ndio unapokosea.

NARUDIA TENA FOOTBALL IT'S ALL ABOUT PHYSICAL CONTACT

uje na hoja usije kama mlevi unakosoa bila kuja na hoja....hoja upingwa kwa hoja.

Get Well Soon Salah
Umelewa nini!!?..wapi nimekulazimisha uamini ninachokiamini!!?..contact sport sawa,lakini sheria za nini!?..au ulitaka uandike halafu wengine tusome tu na kukuoa like!!!?..hapa si mahali pa namna hyo,vitabu tunasoma wote ndiyo,kila mtu anakua na mtazamo wake ..sawa..ila mwisho wa siku kila mtu anakua na alama/marks zake..mmoja anakua katika mrengo sahihi wakati mwingine ni arijojo
 
Ushabiki wa kindaki ndaki mbaya

Mchezo wa mpira una mambo mengi sana

Unapoingia uwanjan unatakiwa uwe makin sababu unaingia sehem ya vita lolote laweza tokea

Swala la salaah kuumia kwangu naona kama ni swala la technic za mpira ukizingatia ramos ni bek

Salaah angefanikiwa kumpita ramos leo hapa usinge andika ichi ulicho andika yawezekana ungetukana matus mengi zaid

Ila napenda nikwambia mtoto hata akiwa mkubwa hawez lingana na baba yake
Exactly
 
Ramos ni mhuni sana, ile rafu alidhamiria hata kabla ya kuingia uwanjani. Salah angekuwa na experience kubwa kucheza Europe huenda angetambua namna ya kupambana na watu kama akina Ramos, Mascherano, Pepe, Godin, Gatusso n.k
 
Yaan Salah aliacha kufunga kisa fainali na akaumia mapema hata ivyo ile faulo ilikuwa ya bahati mbaya Sio makusudi
Mkuu, achana na mabeki kama akina Ramos. Wale watu wanajua kupambana na washambuliaji wasumbufu kiakili, kimbinu na kimwili.
 
Ramos muhuni sana kuna moja nimeona alimpiga ngumi ya kichwa kipa refa hakuiona kabsa

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha ha ha pia refa hakuiona, mimi namfahamu Ramos muda sana. Yule jamaa huwa anajua kupambana mbali na mbinu za kimchezo. Akiamua kukutoa mchezoni anakutoa kirahisi tu.
 
Umelewa nini!!?..wapi nimekulazimisha uamini ninachokiamini!!?..contact sport sawa,lakini sheria za nini!?..au ulitaka uandike halafu wengine tusome tu na kukuoa like!!!?..hapa si mahali pa namna hyo,vitabu tunasoma wote ndiyo,kila mtu anakua na mtazamo wake ..sawa..ila mwisho wa siku kila mtu anakua na alama/marks zake..mmoja anakua katika mrengo sahihi wakati mwingine ni arijojo
ulivyosema nimeandika ujinga kwa maana wewe ndiyo ulikuwa sahihi kwamba ulikuwa unanisahihisha huoni kama ulikuwa unaniweka kwenye mawazo yako??

let's end here lad
 
Kwenye mchezo huo kule Spain anaitwa "THE BEAST"
Halafu binaadam laini kama Salah anamzuia kwa mkono huku kanyoosha vidole kitaarabu.
All in all Ramos yupo vizuri sana, yaliyompata Salah ni sababu ya aina ya mtu aliyekutana naye. Salah alipaswa kujifunza kutoka kwa Messi ni jimsi gani ana mmudu Ramos
 
Unfair View attachment 787913
Screenshot_2018-05-27-22-04-29-1.jpg
 
pole sana.. Maumivu ya kichwa yanaanza kidogo kidogo
. usihofu baada ya siku mbili tu utasahau maumivu
 
alichofanya ni unyama! ilitakiwa iwe final nzuri ..imejeuka kua final ya ovyo ovyo tu kwa kitendo kile tu sizungumzii ushabiki nazungumza kama mpenzi wa mpira na mpenzi wa fair play kwenye mpira ...mashabiki ndo wanaongea ovyo na ndio wanaoona ni kitu cha kawaida ...kujaribu kumvunja mtu bega ili tu ufanikiwe lengo lako kwenye mpira ni unyama
Wakati unapiga ramli hapa jf mwenzako yuko anasherekea kombe...

Kwa kifupi hujui mpira na umejaa ushabiki maandazi...
IMG_20180527_095909_960.jpg
 
Si kweli kwamba haikuwa faulo. Kilichotokea ni kwamba Refa hakuona. Pia si kwamba Salah ndiyo aliingiza mkono kwa Ramosi. Hata kama ni kweli kwamba Salah ndiyo alianza kuingiza mkono kwa Ramos kwanini aliung'ang'nia mkono wa Salah hadi chini wanabilingika bado kaubana kabali tu!!!!

Kifupi, kama ningekuwa Kiev Jana Ramos nilikuwa navunja miguu kwa Bastola tu, Kenchtype...Dadeeeek!!!!
Meza panadol mkuu
IMG_20180527_095909_960.jpg
 
Back
Top Bottom