Chirozo
Senior Member
- Dec 20, 2017
- 145
- 227
Alikuwa busy na Poda onlyMore na langa ,Langa mkali but langa hakuwekeza nguvu nyingi kwenye game,alikua busy na starehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa busy na Poda onlyMore na langa ,Langa mkali but langa hakuwekeza nguvu nyingi kwenye game,alikua busy na starehe
Mafupi kama ukiwa ujajiwekeza, I mean kama unakula poda makapi , kila kama unakula kitu fresh tena gred one, Aahh mbona utadunda sana .Maisha ya Wala unga ni maisha mabaya sana na yaliyojaa fedheha Na kudharaulika. Pia ni maisha mafupi sana
Tatizo kinachotucost wabongo ni kutorespect OG na kuongelea vibaya marehem......WAKAZI wakati anasoma loyola na LANGA tayari ni household name sijui hawa kina UNO respect to new CATS ila they been raised by this OLD CATSHapo kwamba ndo msanii pekee bongo mwenye uwezo wa kurap kiingereza na kumake sense ....hapo umefail fatilia historia ya rap tz walikua wanachana sana ngeli miaka iyoo kabla mr II hajaleta revolution kwa kuchana kiswahili saiv ndo usipime kuna watoto hao balaa incredible, wakazi, zilla etc utasema wamekulia Brooklyn New York
Boss maisha ya podas hayanaga grade Iwe manji au chiddy at the end of the day it always end up badMafupi kama ukiwa ujajiwekeza, I mean kama unakula poda makapi , kila kama unakula kitu fresh tena gred one, Aahh mbona utadunda sana .
Nina Bonge la mkuki,Kina cha mchizi Mox....what a Shot...?langa kileo..
lyrical and natural gifted african..
Nimeogopa kusema hiki nikijua Marehemu anapendwa sana. Hapo kwa Q umegonga penye!Mahaba tu kwa langa kileo..but langa nae kati ya watu wanaotafsiri mistari ya mbele kuifanya take,yupo vizuri..haha but hamzidi fid q tha big copy cat
Ntakuharibu,msala wangu field forceNina Bonge la mkuki,Kina cha mchizi Mox....what a Shot...?
umenikumbusha mbali sana mkuuHata jigga haniwezi me na flow kwa lugha mbili
Nakula kaya nyingi kama vile Nyahbinghi
Najua mambo mengi naweza kumfundisha dingi
Mc namba one
Mfalme wa mitaani
Wapinzani nawapiga vichwa kama zidane
Nakueleza mambo usiyofundishwa darasani
I'm a bad man,rudebwoy a run tings
Every other day I'm up to something
I'm a bad man rudebwoy a run tings
Wherever you go remwmber one ting
I'm hustler,you are just another customer
Nakutoa kafara ukitaka kuleta uhasama
Me ni master nawakilisha kama ambassador
Elimu dunia,kidogo elimu akhera
Niko so high haunifikii hata kwa antena
Nina plan ya kuuza album,
Kama icecream za azam,
Wakigusa tu wananasa sababu mzigo mtamu
Zam zam,yako imepita sasa yangu ina-come
Hatulipii goli serikali haitufahamu
Napenda mikwanja kama mangi wa kichaga
So na-supply maujanja mistari yenye ladha
Wanaongelea pamba kumbe famba kariakoo
Wanaongelea ganja kumbe hawajui hata ku-roll
Gangster gangster tokeo kwenye roho,
Bad man na hardcore,rough-ragga n roll
Hii ya bangi umeamua kuzinguaUlizia pesa nikuandikie Cheque, ulizia pamba nikufungulie bangi..
Hahaha. upo makini ni begi mkuuHii ya bangi umeamua kuzingua