Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Tule na tunywe nini na tusile na tusinywe nini?
Veggies na fruits, kadhalika kunywa maji ya kutosha kila siku na punguza au acha kabisa processed foods na kemikali zingine. Pia fanya mazoezi, nimewahi kuweka uzi kuhusu mazoezi unaweza kuupitia hapa chini na ukiweza soma comments:
Fitness and wellness - JamiiForums