Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Nimeshangaa sana Tv E ya Boss Majizzo ambayo imejaa waandishi vijana na wenye uweledi mkubwa kupitia kipindi cha michezo cha Number 10 kuandika mkoa wa S
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kusema mkoani Bukoba au musoma au mkoani MoshiNimeshangaa sana Tv E ya Boss Majizzo ambayo imejaa waandishi vijana na wenye uweledi mkubwa kupitia kipindi cha michezo cha Number 10 kuandika mkoa wa SView attachment 2308001
Hli si kosa la uandishi ni kutojua.Kosa kubwa sana la kiuandishi
Unaugua weweHli si kosa la uandishi ni kutojua.
Hata wewe huna kosa bali ni kukosa misamiati ya kiswahili tu.Unaugua wewe
Media za wenye Akili Kubwa Afrika Mashariki za Kenya, Uganda na Rwanda zinaajiri Waandishi wa Habari kwa Kigezo cha Taaluma ( Academic ), Umahiri ( Competency) na Akili ( Intelligence ) za Kwenu Kipaumbele ni wa Kike Kuvuliwa sana Chupi na wa Kiume Kuhonga 10% ya Mishahara yao, kuwa Chawa na Wambea Ofisini na Kujipendekeza mno kwa Mabosi ( Wamiliki ) unategemea kweli usione au usisikie Upuuzi huo uliouona na Kuusikia?Nimeshangaa sana Tv E ya Boss Majizzo ambayo imejaa waandishi vijana na wenye uweledi mkubwa kupitia kipindi cha michezo cha Number 10 kuandika mkoa wa SView attachment 2308001
You don't have Journalists in Tanzania but you have the so called PR, Flattered and Brown Envelope Personnel.Kosa kubwa sana la kiuandishi
Na Sumbawanga mkoa wake Rukwa.Songea Mkoa Wake Ruvuma
Moshi Mkoa Wake Kilimanjaro
Musoma Mkoa Wake Mara
Bukoba Mkoa Wake Kagera
Kwakweli Wameonyesha kukosa umakini ...Sasa wanatufanya tuhisi hiyo Media Bado hawana Production crew iliyo smartNimeshangaa sana Tv E ya Boss Majizzo ambayo imejaa waandishi vijana na wenye uweledi mkubwa kupitia kipindi cha michezo cha Number 10 kuandika mkoa wa SView attachment 2308001
Dah kwakweli inafikirisha sanaMedia za wenye Akili Kubwa Afrika Mashariki za Kenya, Uganda na Rwanda zinaajiri Waandishi wa Habari kwa Kigezo cha Taaluma ( Academic ), Umahiri ( Competency) na Akili ( Intelligence ) za Kwenu Kipaumbele ni wa Kike Kuvuliwa sana Chupi na wa Kiume Kuhonga 10% ya Mishahara yao, kuwa Chawa na Wambea Ofisini na Kujipendekeza mno kwa Mabosi ( Wamiliki ) unategemea kweli usione au usisikie Upuuzi huo uliouona na Kuusikia?
Hii mikoa kwel inachanganyaga watuSongea Mkoa Wake Ruvuma
Moshi Mkoa Wake Kilimanjaro
Musoma Mkoa Wake Mara
Bukoba Mkoa Wake Kagera
Msumari wa motoMedia za wenye Akili Kubwa Afrika Mashariki za Kenya, Uganda na Rwanda zinaajiri Waandishi wa Habari kwa Kigezo cha Taaluma ( Academic ), Umahiri ( Competency) na Akili ( Intelligence ) za Kwenu Kipaumbele ni wa Kike Kuvuliwa sana Chupi na wa Kiume Kuhonga 10% ya Mishahara yao, kuwa Chawa na Wambea Ofisini na Kujipendekeza mno kwa Mabosi ( Wamiliki ) unategemea kweli usione au usisikie Upuuzi huo uliouona na Kuusikia?
Kibaha mkoa wake PwaniSongea Mkoa Wake Ruvuma
Moshi Mkoa Wake Kilimanjaro
Musoma Mkoa Wake Mara
Bukoba Mkoa Wake Kagera
Uko sahihi,kosa la kimaandishi ilitakiwa isomeke Ruvumo badala ya Ruvuma......Sasa huyu hajui kabisa ndiyo maana kasema SongeaHli si kosa la uandishi ni kutojua.