Tv E hamna mkoa unaoitwa Songea

Tv E hamna mkoa unaoitwa Songea

Media za wenye Akili Kubwa Afrika Mashariki za Kenya, Uganda na Rwanda zinaajiri Waandishi wa Habari kwa Kigezo cha Taaluma ( Academic ), Umahiri ( Competency) na Akili ( Intelligence ) za Kwenu Kipaumbele ni wa Kike Kuvuliwa sana Chupi na wa Kiume Kuhonga 10% ya Mishahara yao, kuwa Chawa na Wambea Ofisini na Kujipendekeza mno kwa Mabosi ( Wamiliki ) unategemea kweli usione au usisikie Upuuzi huo uliouona na Kuusikia?
Sio kweli, mbona Millard ayo ana taaluma nzuri tu. Andiko Lako nilaupotoshaji
 
Tanzania yangu jamani
Waandishi kanjanja
Bongo movie kanjanja
_______________
Madhara ya kuchanganya siasa na mambo ya kitaalam kama elimu.
______________________
 
Kibaha mkoa wake Pwani
Babati mkoa wake Manyara
Mpanda mkoa wake Katavi
Sumbawanga mkoa wake Rukwa
Bariadi mkoa wake Simiyu
Soon Ifakara mkoa wake Ulanga
Mkoa wa kilombero una-sound vzr kuliko ulanga
 
Back
Top Bottom