Tv E hamna mkoa unaoitwa Songea

Sio kweli, mbona Millard ayo ana taaluma nzuri tu. Andiko Lako nilaupotoshaji
 
Sasa huo weledi unatokea wapi kama wameshindwa kujua jina la mkoa
Upumbavu wa huyo Uliyemjibu hauna tofauti na wa huyu mpwayungu village ambaye 24/7 anahubiri Kunichukia na Kutonikubali hapa Jamiiforums, lakini haachi Kunifuatili kwa Threads au Posts zangu.
 
Tanzania yangu jamani
Waandishi kanjanja
Bongo movie kanjanja
_______________
Madhara ya kuchanganya siasa na mambo ya kitaalam kama elimu.
______________________
 
Kibaha mkoa wake Pwani
Babati mkoa wake Manyara
Mpanda mkoa wake Katavi
Sumbawanga mkoa wake Rukwa
Bariadi mkoa wake Simiyu
Soon Ifakara mkoa wake Ulanga
Mkoa wa kilombero una-sound vzr kuliko ulanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…