Acha uchonganishi, hivi unaangalia muda wote? mbona zinapigwa sema wewe unapishana nazo tuu....Ni wiki sasa tangia nianze kuifatilia hii chanel ya tv E ilopo dstv....naona ni mpya mana kila time wanaplay music ila kinachonshangaza mimi ni kuwa sijawaiona ata siku moja nyimbo yoyote ile ya wcb ata kwa bahati mbaya alafu wanapga na nyimbo za Nigeria.....watz 2badilike hii station cjui ya nani ila haya mabeef na chuki zisifike mbali kiasi hichi......
Ipo namba ngapi?Ni wiki sasa tangia nianze kuifatilia hii chanel ya tv E ilopo dstv....naona ni mpya mana kila time wanaplay music ila kinachonshangaza mimi ni kuwa sijawaiona ata siku moja nyimbo yoyote ile ya wcb ata kwa bahati mbaya alafu wanapga na nyimbo za Nigeria.....watz 2badilike hii station cjui ya nani ila haya mabeef na chuki zisifike mbali kiasi hichi......
Fungua tv station yako mkuu upige nyimbo za wcb
Sent from my 1201 using JamiiForums mobile app
Kwani lazima zipigwe za wcb...? Kawaulize na tbc taifa kwa nini hawapigi nyimbo za sugu
Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
295Ipo namba ngapi?
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
WCB
Hitsong
Mbeleko-rayvan
Tuachane-lavalava
Show me-rich mavoko
I miss u-diamond
Zezeta-rayvan
Acha nilewe -harmonize
Fire-diamond
Unataka nin ukose in wcb tunaweza kumake top 20 wenyewe maniner zao wote wasiyoipenda WCB
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Zote izo azpo kwny top 30 yaoWcb ni baba lao bongo ad Nigeria atupend kiki tuna promote wenyeewe kazi zetu ingia wasafi .com
Mi sio Hamorapa mi rayvanrapa dadeq zao etv
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa ushirikiano mkuuwalipiga nyimbo ya mond wiki kama mbili zilizopita lakin sijwahi kuona zaidi ya hiyo
nshalijibu ilo swaliVipi Yooooooh wanakung'uta nyimbo zake
critical thinker
Mkuu nahitaji tu mshahidi wa yeyote anayeifuatilia hii channel aje kujiunga mkono....mana wana iyo top 30 hamna ata nyimbo moja ya wcb ila nyimbo ya msaga sumu mashine na if ya davido zipo hahaha ## tz no uzalendo..