TV4Sale TV Flat screen za aina mbalimbali zinauzwa

TV4Sale TV Flat screen za aina mbalimbali zinauzwa

Plasma ni tech ya zamani ni tv za zaidi ya miaka 10 iliopita hivyo ni kawaida kuwa rahisi.

Pia zinakula umeme sana, tunaongelea watts hadi 600 kwa inch zaidi ya 60, hivyo masaa 10 kwa siku ukiangalia TV unatumia umeme wa 2000 ama zaidi. Mwisho wa mwaka umetumia umeme zaidi ya laki 6 kwenye tv tu.

Shukrani sana mkuu
 
Bei-170k

brand-Tandar

condition-used

Display-HD

screen size-22inches

Umeme matumizi-inatumia umeme wa kawaida na solar power

ipo hali nzuri .

Mahali-Mbeya mjini(Hali ya hewa).

mawasiliano call/whattsapp:0747175984
IMG_20211002_161934.jpg
IMG_20211002_161934.jpg
IMG_20211002_161837.jpg
IMG_20211002_161750.jpg
IMG_20211002_161833.jpg
 
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.

special treand 2021 jitangazie biashara yako hapa wana ndugu.

Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;

1. Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
2. Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
3. Taja bei
4. Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
5. Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
6. Usiweke tangazo moja mara nyingi.
7.matusi au lugha isiyo pendeza kwenye biashara ya mwenzio haitakiwi.
8.jibu unapokuwa unaulizwa kuhusu bidhaa yako kulingana na swali sio vingine.

Ni vyema kuzingatia hatua hizo chache. Kinyume na hapo, tangazo lako litaondolewa hewani.
 
Nauza Tv used aina zote ambazo zipo kwenye hali nzuri,Bei ya kawaida kulingana na tv unayo taka,napatikana jijini Mbeya.
mawasiliano call/whattsapp:0747175984.
 
Back
Top Bottom