profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
[emoji23][emoji23][emoji23]Si umesema ni ya kichina mkuu?
Angalia isije ikawa zile za Solar. Jaribu kudisconect umeme! Kisha iwashe....ikiwaka itakuwa na Backup battery ndani yake. Maana zipo TV zina backup Battery ndani yakeWakuu,nimenunua tv ya kichina mpya,iko vzuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia,inaonyesha alama ya battery na 100%,cjui inamaanisha nini?View attachment 2916669
Iko full charge [emoji23] labda ni rechargableWakuu,nimenunua tv ya kichina mpya,iko vzuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia,inaonyesha alama ya battery na 100%,cjui inamaanisha nini?View attachment 2916669
Angalia vizuri usije kuta uliuziwa simu ya flat screen wakakudanganya ni tv. Wachina hovyo sanaWakuu,nimenunua tv ya kichina mpya,iko vzuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia,inaonyesha alama ya battery na 100%,cjui inamaanisha nini?View attachment 2916669
Ifungue ndani uchunguze usikute wameweka simu ya itel humo ndaniWakuu, nimenunua TV ya kichina mpya, iko vizuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia, inaonyesha alama ya battery na 100%, sijui inamaanisha nini?
Wakuu, nimenunua TV ya kichina mpya, iko vizuri tu.
Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia, inaonyesha alama ya battery na 100%, sijui inamaanisha nini?