TV1 Kurusha Live ligi kuu ya Uingereza(EPL)

Mkuu nimekuelewa inakuwaje Zanzibar wanaona zote na Dstv IPO kwa 10000 tu kupitia Zanzibar cable na coconut
Swali zuri sana kiongozi, ZNZ wanaangalia epl kwa be I ndogo sana. Kwa nini??? Akikujibu niambie..
 
Wadau kuna hii taarifa kuwa tv1 itaonyesha epl. Ipoje qadau mlio na taarifa. Kesho ratiba yao ipoje na mambo mengine??
Wasalaamu
 
TV1 wataonesha Mechi kati ya Everton vs Tottenham Hotspur
 
Hello wakuu wa nchi .Jana nilisikia kwenye TV 1 wataonyesha Live hii mechi kati ya Leicester city na Hull City ni kweli .maana siioni ,mwenye ufahamu zaidi please let's me know please.
 
Mi kitaani kwetu tunatizama kupitia cable kwenye banda la sinema, source ni supersport
 
Ipo live being sport 20, matokeo hull city 1 Leicester city 0
 
Hello wakuu wa nchi .Jana nilisikia kwenye TV 1 wataonyesha Live hii mechi kati ya Leicester city na Hull City ni kweli .maana siioni ,mwenye ufahamu zaidi please let's me know please.
Game ya baadae mkuu ndio wataonyesha saa 11:00
 
Tv 1 wanaonaonesha hichi kwa sasa game ya hull Na Leicester ikiwa inachezwa
 

Attachments

  • WP_20160813_002.jpg
    133.8 KB · Views: 51
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…