Twaha Kiduku kuhusu kuchapana na Mwakinyo ajibu “Ni yeye tu”

Twaha Kiduku kuhusu kuchapana na Mwakinyo ajibu “Ni yeye tu”

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Bondia Twaha Kiduku ni miongoni mwa watu waliohudhuria katika shughuli ya utoaji wa Tuzo za Tanzania Music Awards, zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, Aprili 2, 2022.

Mbali na mambo mengine, Kiduku alipoulizwa na mtangazaji akiwa kwenye zulia jekundu (red carpet) kuhusu yeye kupanda ulingoni na kuzichapa na bondia mwingine mkubwa, Hassan Mwakinyo, amejibu kwa kifupi kwamba ‘ni yeye tu’ akimaanisha kwamba yupo tayari muda wowote kupanda ulingoni na bondia huyo endapo atakubali.


Chanzo: Global TV
 
Mwakinyo amesema kuwa awez pambanishwa kwa kupewa beberu au ahad za gar Kam vip atoke nnje nae akapambne
 
Yule mwakwinyo mdigo kutoka Jirihini anamkwepa kiduku sbb anajua atakandwa kama mwenzake mandonga ngumi 1 tu chalii Chaplin [emoji1787][emoji23] amebaki kutoa mipasho2 kutoka Tanga mara hooo mi nalipwa doller hajui kua hta buku1 ukiichenchi unapata iyo doller hovyo kweli
 
Naona mnamkomalia kiduku apigane na mwakinyo wakati yeye alishasema anaangalia hela hawezi kupigana kuwafurahisha mashabiki kama kweli ni bondia mzuri atafute pambano nje apate hela.
 
Mpeni kichwa kiduku amezeshwe ulimi [emoji39]
 
Back
Top Bottom