mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
- Thread starter
- #21
Kuna ukweli pia hapaKatika michezo hasa Africa kitakachokupa ugali sio kipaji Kama kipaji but is how you can maintain ur fame . in Fans's mouths
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukweli pia hapaKatika michezo hasa Africa kitakachokupa ugali sio kipaji Kama kipaji but is how you can maintain ur fame . in Fans's mouths
Kwamba hauoni akitamba Kwa Ibra Classic unataka wapigane uzito gani hao wawili!??Ukweli usemwee juu ya mTanzania mwenzetu na mwanamichezo wa mchezo ngumi nchini ndugu Twaha kiduku kuhusu uwezo wake mdogo katika mchezo wa ndondi, naheshimu kipaji chake na kazi yake ya ngumi lakini baada ya kutazama pambano lake la Leo dhidi ya bondia mzee mwenye miaka 45,ndugu mohamed sebyala kutoka Uganda, na mapambano yake zaidi ya matano ya nyuma ikiwemo alilopoteza dhidi ya bondio kutoka south Africa inatosha kabisa kufanya analysis na kugundua huyu ni bondia wakawaida sana ambaye anapewa sifa nyingi za ubora ambao hana hata chembe.
Twaha kiduku ni boxer asiyekuwa na skills na inaonekana huwa hafati game plan za makocha wake, kwa kifupi ni bondia mkurupukaji ULINGONI anayerusha ngumi hovyo hovyo kama punguani . Anatumia nguvu nyingi kuliko akili na siku zote anategemea bahati nasibu ili kushinda. Simuoni Twaha kiduku akitamba kwa boxers kama Mwakinyo, ibra classic, mfaume mfaume, selemani kidunda, n.k, kama akipagana nao regardless ya weight class yake bado wanaweza kumtwanga kipigo cha mbwa koko.
Nimekuambia regardless ya weight yake, twaha kiduku super midle weight na ibra classic nu super feather, ila ibra akipanda kidogo tu bado anamkalisha Huyo twaha kiduku anytime, anyday, kiduku ni usugu tu unamsaidia ila ni bondia wa kawaidaKwamba hauoni akitamba Kwa Ibra Classic unataka wapigane uzito gani hao wawili!??
Kama unafatilia ngumi za tanzania hauwezi kumdharau kidukuEnzi imeisha?
Aliwahi kuwa nayo?
Hajawahi kuwa namba moja TZ hii.Kama unafatilia ngumi za tanzania hauwezi kumdharau kiduku
anatafuta ugali, mwacheni aendelee kupewa mechi. ila kupigana bado sana, nadhani Tanzania hatuna bondia wa kujivunia kwa sasa.Ukweli usemwee juu ya mTanzania mwenzetu na mwanamichezo wa mchezo ngumi nchini ndugu Twaha kiduku kuhusu uwezo wake mdogo katika mchezo wa ndondi, naheshimu kipaji chake na kazi yake ya ngumi lakini baada ya kutazama pambano lake la Leo dhidi ya bondia mzee mwenye miaka 45,ndugu mohamed sebyala kutoka Uganda, na mapambano yake zaidi ya matano ya nyuma ikiwemo alilopoteza dhidi ya bondio kutoka south Africa inatosha kabisa kufanya analysis na kugundua huyu ni bondia wakawaida sana ambaye anapewa sifa nyingi za ubora ambao hana hata chembe.
Twaha kiduku ni boxer asiyekuwa na skills na inaonekana huwa hafati game plan za makocha wake, kwa kifupi ni bondia mkurupukaji ULINGONI anayerusha ngumi hovyo hovyo kama punguani . Anatumia nguvu nyingi kuliko akili na siku zote anategemea bahati nasibu ili kushinda. Simuoni Twaha kiduku akitamba kwa boxers kama Mwakinyo, ibra classic, mfaume mfaume, selemani kidunda, n.k, kama akipagana nao regardless ya weight class yake bado wanaweza kumtwanga kipigo cha mbwa koko.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mabondia wengi wa bongo wanacheza na vinyozi na wauza matikiti kwenye nchi zao