Twaha Mwaipaya apata dhamana

Twaha Mwaipaya apata dhamana

Ameachiwa Kwa mbinde usiku huu kwa Masharti ya kuwa na wadhamini wawili , hata hivyo anatakiwa kuripoti tena polisi tarehe 8/7/2022 .

Tulishasema tangu awali kwamba Polisi haina hata sababu moja ya ukweli ya kukamata vijana wa Chadema , oneni wenyewe , unamkamata kijana wa watu unamzungusha mavituo yoooote , tena kwa gharama ya serikali , halafu unamuachia bila hata kumpeleka mahakamani !

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliopiga kelele kila mahali hadi watesaji wakaona Aibu na kumwachia , LEO NI MWAIPAYA , JUZI NI MO , KESHO NI WEWE , ni lazima tushirikiane kupinga Uharamia .
Amejifunza, Siasa sio uhuni
 
Nikisikia mtu kama Mdude Chadema amekamatwa na Polisi kamwe siwezi kumuonea huruma, kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana chadema, na Mwenyekiti Mbowe alishawaambia waache kutukana viongozi mitandaoni, halafu mbaya zaidi unatukana kwenye mitandao ambayo unajurikana wazi kama Facebook, dakika sifuri tu stono wanakutia pingu.
 
Nikisikia mtu kama Mdude Chadema amekamatwa na Polisi kamwe siwezi kumuonea huruma, kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana chadema, na Mwenyekiti Mbowe alishawaambia waache kutukana viongozi mitandaoni, halafu mbaya zaidi unatukana kwenye mitandao ambayo unajurikana wazi kama Facebook, dakika sifuri tu stono wanakutia pingu.
Mdude sio chizi atoe lugha kali bila sababu, madhila wanayofanyiwa makusudi ndio yanasababisha hali aliyonayo, na huwezi kumkwaza mtu kwa makusudi halafu utegemee akuchekee, labda awe taahira.

N.B.
Vipi leo, umeshalamba asali lita ngapi?
chunga sana usije kuharisha!.
 
Ameachiwa Kwa mbinde usiku huu kwa Masharti ya kuwa na wadhamini wawili , hata hivyo anatakiwa kuripoti tena polisi tarehe 8/7/2022.

Tulishasema tangu awali kwamba Polisi haina hata sababu moja ya ukweli ya kukamata vijana wa Chadema , oneni wenyewe , unamkamata kijana wa watu unamzungusha mavituo yoooote , tena kwa gharama ya serikali , halafu unamuachia bila hata kumpeleka mahakamani!

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliopiga kelele kila mahali hadi watesaji wakaona Aibu na kumwachia , LEO NI MWAIPAYA, JUZI NI MO, KESHO NI WEWE, ni lazima tushirikiane kupinga Uharamia.
Mwendazake anahusika?

Bavicha bure kabisa
 
Ndio ajifinze sasa ,M/kiti wake katulia kimya yeye anasumbua watu
 
Mdude sio chizi atoe lugha kali bila sababu, madhila wanayofanyiwa makusudi ndio yanasababisha hali aliyonayo, na huwezi kumkwaza mtu kwa makusudi halafu utegemee akuchekee, labda awe taahira.

N.B.
Vipi leo, umeshalamba asali lita ngapi?
chunga sana usije kuharisha!.
Ujinga wa Bavicha ndio huu, kila mtu ambaye hakubaliani na tabia za kipumbavu na kifala mnasema kalamba asali, haya Peter Msigwa ameshahamia ccm?
 
Nikisikia mtu kama Mdude Chadema amekamatwa na Polisi kamwe siwezi kumuonea huruma, kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana chadema, na Mwenyekiti Mbowe alishawaambia waache kutukana viongozi mitandaoni, halafu mbaya zaidi unatukana kwenye mitandao ambayo unajurikana wazi kama Facebook, dakika sifuri tu stono wanakutia pingu.
WENZAKO SIYO WAOGA KAMA WEWE
 
Ujinga wa Bavicha ndio huu, kila mtu ambaye hakubaliani na tabia za kipumbavu na kifala mnasema kalamba asali, haya Peter Msigwa ameshahamia ccm?
Nyerere angewaza hivi wakoloni wangekuwepo hadi leo
 
Back
Top Bottom