Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

Inatakiwa ifikie hatua,na wao tujue viwanja vyao na familia zao.
Kwani mnadhani wanalala kazini na familia zao?.
Kingine sio kwamba wanatembea pamoja,kinachotakiwa na wao kidili nao mmoja baada ya mwingine.

Inaitwa,ajitetee yeye na familia kivyake.
Sio kulia Lia tu haitosaidia.

Au kidili pia,na vihelehele wz ccm mmoja mmoja mwone kama sauti hazitopazwa.

Ukondoo umewajaa.

Undeni kikosi kazi,operation za kimya kimya,hao polisi ni vibaraka tu.
 
Hivi yule kijana aliyechoma picha yake yenye mchoro wa kufanana na Rais Samia alipatikana?
 
Huo ni woga. Mimi naona Chadema waende na kanuni ya jino kwa jino,akiuwawa mwana Chadema wauwawe maccm kumi,na hao hao polisi kwa vile wengi wanaishi uraiani nao wafanyiziwe wao na familia zao.
 
Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama utashitakiwa.
Nakuunga mkono.
Unakumbuka tajiri wa Mabasi ya Zacharia Mr Zacharia, aliwalamba chuma, hakuwa na shabaha aliwajeruhi ama kuwakosa, nimesahau kuunga stori ilivotokea.

Alikuja kushitakiwa na kesi nyingine kabisa, na si ya kutaka kuuwa hao mbwa.

Lakini siku hiyo angelitii amri bila shuruti kwenda nao, leo angelikuwa ni historia.
 
VITENDO VYA UTEKAJI NA WATOTO KUPOTEA VINATUKWAZA MNO WATANZANI.

HILI NI TATIZO KUBWA SANA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA.
 
Mimi nadhani ungenyoosha maelezo! Wewe shida yako ni kuwashwa tu. Huenda kuna tundu mojawapo kwenye mwili wako linakuwasha sana. Na hivyo unatafuta kijanja mtu wa kukusaidia kulikuna.
Usingekuwa sh*ga usingekuwa na mawazo kama yao! Ahahahahaha!!
 
Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama utashitakiwa.
Ulishawai kuona Mkurya ametekwa? Walijaribu kipindi cha Magu kumteka Boss Zakaria, kilichowapata wanajua hadi kesho
 
Usingekuwa sh*ga usingekuwa na mawazo kama yao! Ahahahahaha!!
Tangu ulipo ni quote kwa mara ya kwanza, wewe ni kujichekesha chekesha tu na kunibinulia kiuno!
Nimekuuliza kama unawashwa mahali, useme ili nikukune!! Hutaki kunyoosha maelezo!
 
Hata kama ndiyo hayupo ila yeye ndiye aliye ionesha tanzania kwamba kumbe inawezekana kumteka mtu na kumuua na asijulikane alipo milele.
Wewe Una chuki naye tu... Kuasisi.... Absalom Kibanda, Dr. Ulimboka, orodha ni ndefu Mabwepande ilijulikana kutokana na utekaji. Umekomaa Magu aliasisi...
 
Ifikie wakati Watanzania waache kuwa kondoo. Kama serikali kupitia jeshi la polisi imekana kuhusika na hivyo vitendo! kwa nini wananchi wasijitetee? Hao watu wakija, piga mapanga tu halafu tuone kama utashitakiwa.
Kwanini wasubiriwe mpaka waje na wakati wanafahamika?

Hicho kikosi kazi kiundiwe kikosi kazi.
 
Wewe Una chuki naye tu... Kuasisi.... Absalom Kibanda, Dr. Ulimboka, orodha ni ndefu Mabwepande ilijulikana kutokana na utekaji. Umekomaa Magu aliasisi...
Elewa kilicho andikwa kwan absolomon na ulimboka wallipotea kama ilivyo kwa ben saanane? Halafu mimi nampenda sana magufuli kwenye mambo mengi sana lakini hainifanyi niwe kipofu kwa maovu yake.
 
Elewa kilicho andikwa kwan absolomon na ulimboka wallipotea kama ilivyo kwa ben saanane? Halafu mimi nampenda sana magufuli kwenye mambo mengi sana lakini hainifanyi niwe kipofu kwa maovu yake.
Kuteka na kuua hakujaanza awamu ya tatu... Na huwezi kulaumu Magufuli kwa yanayofanyika katika utawala wa awamu ya sita. Hiyo ndo wanaita selective outrage.... Face the reality. Magu is gone... He is not in charge. Hajatunga sheria ya Kuteka.
 
Drama nyingi, kuzua taharuki, kutafuta umaarufu kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…