Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli mtesi wao si alishakufa!!?
Sasa kama JPM amekufa and it's business as usual, why do (or at least did) we attribute haya yote kwa JPM?..amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Raisi Ssh.
..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.
Erythrocyte
..sikilizeni kilichomtokea Twaha Mwaipaya kada wa Cdm.
..Wapinzani wanalalamika kuonewa pamoja na kwamba Raisi amesisitiza kufungua ukurasa mpya wa siasa Tz.
Sasa kama JPM amekufa and it's business as usual, why do (or at least did) we attribute haya yote kwa JPM?
@Twaha_Mwaipaya amekuwa anataka sana kujenga jina lake ndani ya CHADEMA kwa ajili ya malengo ya baadaye. Hii siyo bahati mbaya yeye kuwa mikononi mwa Polisi. Hicho ndiyo alikuwa anakitaka. Tusubiri kama kweli atakuja kuwa kiongozi mkubwa kisa aliwekwa rumande.
Huyu @Twaha_Mwaipaya anataka umaarufu kama wa @mdude_chadematz wa kutukana halafu kukamatwa na kwenda rumande. Kuweni careful na hawa vijana watawaharibia chama
..Je, unapenda unyanyasaji na ukatili wanaofanyiwa vijana wa Cdm?shida ya vijana wa chadema ni kudhiaki watawala, hii tabia ata mimi sipendi hata kidogo, hebu tuhame kwenye siasa za uhanarakati tuwe na mawazo mbadala
Pia kuna umuhimu wa kufanya boot camp ili vijana wanaandaliwa kuwa viongozi wa baadae chadema waandaliwe na kupewa mafunzo ya siasa ndani na nje ya nchi....
Chadema ina political ideology nzuri sana kuliko vyama vyote,ila hii ya bavicha propaganda ,Hapana kwa kweli......wanajijenga wao binafsi na kutafuta umaarufu kila hoja waowapo tu
Ni kweli lakini je sheria inasemaje kwa mtu anayefanya hivyo, inasema atekwe, asipewe dhamana na ikiwezekana apotezwe?shida ya vijana wa chadema ni kudhiaki watawala, hii tabia ata mimi sipendi hata kidogo, hebu tuhame kwenye siasa za uhanarakati tuwe na mawazo mbadala
Pia kuna umuhimu wa kufanya boot camp ili vijana wanaandaliwa kuwa viongozi wa baadae chadema waandaliwe na kupewa mafunzo ya siasa ndani na nje ya nchi....
Chadema ina political ideology nzuri sana kuliko vyama vyote,ila hii ya bavicha propaganda ,Hapana kwa kweli......wanajijenga wao binafsi na kutafuta umaarufu kila hoja waowapo tu
..sikilizeni kilichomtokea Twaha Mwaipaya kada wa Cdm.
..Wapinzani wanalalamika kuonewa pamoja na kwamba Raisi amesisitiza kufungua ukurasa mpya wa siasa Tz.
Kwani umesikia ni maridhiano ya kubadilishana wafungwa?
shida ya vijana wa chadema ni kudhiaki watawala, hii tabia ata mimi sipendi hata kidogo, hebu tuhame kwenye siasa za uhanarakati tuwe na mawazo mbadala
Pia kuna umuhimu wa kufanya boot camp ili vijana wanaandaliwa kuwa viongozi wa baadae chadema waandaliwe na kupewa mafunzo ya siasa ndani na nje ya nchi....
Chadema ina political ideology nzuri sana kuliko vyama vyote,ila hii ya bavicha propaganda ,Hapana kwa kweli......wanajijenga wao binafsi na kutafuta umaarufu kila hoja waowapo tu
Ndugu unaongea nini? Hivi unadhani zomali inaweza kutoa mlio bila mwenye zomali kuigusa?Rais afurumushe
Kwahiyo wewe unafurahia akiuawa au akiteswa bila kufikishwa mahakamani!@Twaha_Mwaipaya amekuwa anataka sana kujenga jina lake ndani ya CHADEMA kwa ajili ya malengo ya baadaye. Hii siyo bahati mbaya yeye kuwa mikononi mwa Polisi. Hicho ndiyo alikuwa anakitaka. Tusubiri kama kweli atakuja kuwa kiongozi mkubwa kisa aliwekwa rumande.
Huyu @Twaha_Mwaipaya anataka umaarufu kama wa @mdude_chadematz wa kutukana halafu kukamatwa na kwenda rumande. Kuweni careful na hawa vijana watawaharibia chama
Hawezi kukuelewa.Rais kwa mamlaka yaje ana uwezo wa kuondoa hali hiyo, lakini kwa mapenzi yake ameamua kukaa kimya, huyu anajihujumu mwenyewe, na yale maridhiano ni usanii tu alishasema wananchi hawali maridhiano, hapo inayotembea ni ile kauli yake ya ukinipara.. nitakuparua.
Kumtetea Samia kwenye hili ni sawa na kuendelea kulea tatizo, na madhara ya haya mahaba yenu yaliyopitiliza ndio kikwazo cha mabadiliko yanayotakiwa, punguzeni mahaba mtumie akili zenu kutafakari, Samia sio mtoto mdogo.
Upo kwenye usingizi mzito sanaRaisi amesema anatekeleza mambo manne ktk siasa zetu.
1. Reconciliation.
2.Recilience.
3.Reform.
4.Rebuild.
Yanayofanywa na Polisi yanakwenda kinyume na malengo ya Raisi.