Twaha Mwaipaya wa CHADEMA hajapewa dhamana na haijulikani yuko kituo gani. Je, hizi ni hujuma kwa maridhiano?

Twaha Mwaipaya wa CHADEMA hajapewa dhamana na haijulikani yuko kituo gani. Je, hizi ni hujuma kwa maridhiano?

..amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Raisi Ssh.

..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.

Erythrocyte
Mkuu hii kusingizia wasaidizi/masalia naona kama inaanza kuwa excuse ya uongo.

Haiwezekani jambo likiwa zuri linakua la raisi, alafu likiwa baya ni la wasaidizi
 
@Twaha_Mwaipaya amekuwa anataka sana kujenga jina lake ndani ya CHADEMA kwa ajili ya malengo ya baadaye. Hii siyo bahati mbaya yeye kuwa mikononi mwa Polisi. Hicho ndiyo alikuwa anakitaka. Tusubiri kama kweli atakuja kuwa kiongozi mkubwa kisa aliwekwa rumande.
Huyu @Twaha_Mwaipaya anataka umaarufu kama wa @mdude_chadematz wa kutukana halafu kukamatwa na kwenda rumande. Kuweni careful na hawa vijana watawaharibia chama
Huu ndio ukweli wenyewe
 
Raisi amesema anatekeleza mambo manne ktk siasa zetu.

1. Reconciliation.
2.Recilience.
3.Reform.
4.Rebuild.

Yanayofanywa na Polisi yanakwenda kinyume na malengo ya Raisi.
Hata kama mtu kavunja sheria basi aachiwe tu
 
Sikilizeni kilichomtokea Twaha Mwaipaya kada wa CHADEMA.

Wapinzani wanalalamika kuonewa pamoja na kwamba Rais amesisitiza kufungua ukurasa mpya wa siasa Tanzania


Mimi hapa ndipo Chadema siwaelewi. Badala ya kuweka nguvu zao kuhakikisha wanachama wao waliokamatwa kwa sababu za kisiasa, wao wanawang'ang'ania wakina Halima! Nilitarajia Mwenyekiti na KM wangekuwa mstari wa mbele kukumbusha umma kuwa kuna watu wao bado wako ndani. Kwa maoni yangu hali hii inawapa justification hata ya kusimamisha mazungumzo ya maridhiano kuliko ya wakina Halima. Wanatakiwa waonyeshe uchungu ule ule walioonyesha Mwenyekiti wao alipokamatwa.

Amandla....
 
..amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Rais Ssh.

..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.

Erythrocyte
Acha uongo, heshimuni mamlaka na sheria za nchi. Mama amebadilisha viongozi wote na kuweka watendaji wake kwa uchambuzi mpya.
 
R..amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Rais Ssh.

..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.

Erythrocyte
Kumbe sasa nmegundua Magufuli alikuwa na nguvu sana. Na Rais aliyepo sasa ni dhaifu sana. Kama amekufa mwaka 1 umepita ila mpaka sasa effect yake inaonekana then he was so powerful and the one we have atakuwa weak sana kama anayumbishwa kiasi hicho. Rais kama Rais anahujumiwaje? Ni kumdhalilisha Rais. Ina maana hajui hata kinachoendelea? Anawaogopa masalia wa Magufuli? Sasa anaweza nini? 😀
..amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Rais Ssh.

..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.

Erythrocyte
 
R..amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Rais Ssh.

..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.

Erythrocyte
Kwa hiyo kwa sasa Rais hana nguvu kabisa? Bado anazidiwa na waliobaki kipindi cha Magufuli? Atakuwa dhaifu sana.
 
@Twaha_Mwaipaya amekuwa anataka sana kujenga jina lake ndani ya CHADEMA kwa ajili ya malengo ya baadaye. Hii siyo bahati mbaya yeye kuwa mikononi mwa Polisi. Hicho ndiyo alikuwa anakitaka. Tusubiri kama kweli atakuja kuwa kiongozi mkubwa kisa aliwekwa rumande.
Huyu @Twaha_Mwaipaya anataka umaarufu kama wa @mdude_chadematz wa kutukana halafu kukamatwa na kwenda rumande. Kuweni careful na hawa vijana watawaharibia chama
Hayo ni mawazo finyu.

Wale wa ccm wanaotukana wapinzani kila siku wanatafuta nini. Onesha ni wapi amesema anatakaakamatwe ili awe maarufu.


Hamna mnaloweza kihoja bila ya nguvu ya dola.
 
Mwenyekiti John Pambalu CHADEMA taifa, umeongea mambo mazito na kutoa angalizo kwa wahafidhina waliopo ktk vyombo vya serikali na ktk chama cha CCM wanaoendelea kudhoofisha maridhiano ili kuachana na siasa za kibaguzi .
 
Mkuu hii kusingizia wasaidizi/masalia naona kama inaanza kuwa excuse ya uongo.

Haiwezekani jambo likiwa zuri linakua la raisi, alafu likiwa baya ni la wasaidizi
Rais wa Tanzania huwa hakosei.
 
Mkiambiwa msitukane watu, mnatukana yakiwakuta mwaomba msaada muonewe huruma
 
Acha uongo, heshimuni mamlaka na sheria za nchi. Mama amebadilisha viongozi wote na kuweka watendaji wake kwa uchambuzi mpya.

..mbona wenye mamlaka hawaheshimu sheria?

..kuna tatizo la Polisi kuvunja sheria wakati wakitekelezs hicho wanachodai kuwa ni kulinda sheria.

..katika mazingira hayo kwanini unaamini wayawala wetu wanastahili heshima?
 
Mimi hapa ndipo Chadema siwaelewi. Badala ya kuweka nguvu zao kuhakikisha wanachama wao waliokamatwa kwa sababu za kisiasa, wao wanawang'ang'ania wakina Halima! Nilitarajia Mwenyekiti na KM wangekuwa mstari wa mbele kukumbusha umma kuwa kuna watu wao bado wako ndani. Kwa maoni yangu hali hii inawapa justification hata ya kusimamisha mazungumzo ya maridhiano kuliko ya wakina Halima. Wanatakiwa waonyeshe uchungu ule ule walioonyesha Mwenyekiti wao alipokamatwa.

Amandla....

..umetoa ushauri mzuri.

..kuna umuhimu wa kupaza sauti zaidi kupinga uonevu wanaofanyiwa wanachadema.
 
Back
Top Bottom