Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Mkuu hii kusingizia wasaidizi/masalia naona kama inaanza kuwa excuse ya uongo...amekufa lakini bado kuna masalia ya watendaji wake wanamhujumu Raisi Ssh.
..Rais afurumushe masalia wote wasiotaka kwenda na spirit mpya ya haki na maridhiano.
Erythrocyte
Haiwezekani jambo likiwa zuri linakua la raisi, alafu likiwa baya ni la wasaidizi