Twanga wafunika billicanas

Twanga wafunika billicanas

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606"> TWANGA WAFUNIKA BILLICANAS

</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12"> </td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
<!--ThumbBegin--><!--ThumbEnd-->
Safu ya wanenguaji wa bendi ya African Stars (Twanga Pepeta) wakishambulia jukwaa wakati bendi hiyo ilipofanya onesho ndani ya ukumbi wa Cub Billicanas (Muc Mo) uliopo katikati ya jiji la Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.

<!--ThumbBegin--><!--ThumbEnd-->
Mwimbaji nyota wa ‘Twanga’, Saulo John (Ferguson) akipagawisha mashabiki.

<!--ThumbBegin--><!--ThumbEnd-->
Mnenguaji nyota wa Twanga, Lilian Tungaraza (Liliani Internet) akiwa amemdandia shabiki na kumkatia mauno kisawasawa wakati wa onesho hilo.

<!--ThumbBegin--><!--ThumbEnd-->
Lilian Internet akionesha kipaji chake baina ya jukwaa na mwili wake.

<!--ThumbBegin--><!--ThumbEnd-->
Mnenguaji mwenye mvuto mahsusi wa wana-Twanga, Aisha Mbegu Madinda akiwajibika jukwaani.

<!--ThumbBegin--><!--ThumbEnd-->
Chiriku wa kike wa Twanga, Luiza Nyoni Mbutu akitoa burudani jukwaani.

http://www.globalpublisherstz.com/


</td></tr></tbody></table>
 
Nasikia sasa hivi wanafanya vizuri kwenye maonesho yao, tofauti na miezi kadhaa nyumba.
 
hahaha Luiza Mbutu kapendeza kweli na kivazi chake
nimefurahi tena kumuona Bi Aisha Madinda Jukwaani
 
Kaaazi kweli kweli hapa. Kama una mke inakuaje?


1259225676_3.jpg

kama wife akikuona hapo inabidi afikirie mala mbili unajua wanamziki wao huwa wanadandia tu mtu yoyote so sijui kama anaweza kukupa talaka
 
Back
Top Bottom