Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Niliandika humu na Naendelea kuandika Tena na Tena kuwa mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan anaeleweka vizuri Sana na mamillion ya watanzania, niliwambia kuwa watanzania wanamkubali Sana mh Rais, niliwaambia kuwa watanzania wanamuunga mkono mh Rais katika kuchangia kidogo kidogo kutokanaa na vipato vyetu ili kuijenga nchi yetu
Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu katika matumizi ya kila sent inayopatikana, watanzania wanaziona huduma zivyosogezwa karibu yao na kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma, watanzania wanafurahishwa na namna mh Rais wetu alivyo muwazi katika matumizi ya Fedha za umma, watanzania wanaimani kubwa Sana na mh Rais wetu katika usimamaizi wa fedha za umma na wanaona kuwa zipo katika mikono salama
Wananchi walio wengi wanasubili muda ufike tu ili akachukuliwe fomu ya kugombea Urais maana bado tuna muhitaji Sana mama yetu Katika Kuendelea kutuongoza na kututumikia, Tunaendelea kumwombea uzima na Afya njema
Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu katika matumizi ya kila sent inayopatikana, watanzania wanaziona huduma zivyosogezwa karibu yao na kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma, watanzania wanafurahishwa na namna mh Rais wetu alivyo muwazi katika matumizi ya Fedha za umma, watanzania wanaimani kubwa Sana na mh Rais wetu katika usimamaizi wa fedha za umma na wanaona kuwa zipo katika mikono salama
Wananchi walio wengi wanasubili muda ufike tu ili akachukuliwe fomu ya kugombea Urais maana bado tuna muhitaji Sana mama yetu Katika Kuendelea kutuongoza na kututumikia, Tunaendelea kumwombea uzima na Afya njema