TWAWEZA: Asilimia 64 ya Watanzania waridhishwa na matumizi ya tozo

Niliandika humu na Naendelea kuandika Tena na Tena kuwa mh Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan anaeleweka vizuri Sana na mamillion ya watanzania, niliwambia kuwa watanzania wanamkubali Sana mh Rais, niliwaambia kuwa watanzania wanamuunga mkono mh Rais katika kuchangia kidogo kidogo kutokanaa na vipato vyetu ili kuijenga nchi yetu

Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu katika matumizi ya kila sent inayopatikana, watanzania wanaziona huduma zivyosogezwa karibu yao na kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma, watanzania wanafurahishwa na namna mh Rais wetu alivyo muwazi katika matumizi ya Fedha za umma, watanzania wanaimani kubwa Sana na mh Rais wetu katika usimamaizi wa fedha za umma na wanaona kuwa zipo katika mikono salama

Wananchi walio wengi wanasubili muda ufike tu ili akachukuliwe fomu ya kugombea Urais maana bado tuna muhitaji Sana mama yetu Katika Kuendelea kutuongoza na kututumikia, Tunaendelea kumwombea uzima na Afya njema
 
Ndio maana Magu huyu Wakuza sijui Jakuzi alimtia DISCIPLINE kwa upuuzi wake.

Kuna mtanzania anahitaji TOZO?
 
Hapo muamala umesoma halafu vinafuatia vichekesho kama hivi.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
 

Watuletee kwanza aina ya maswali yaliyoulizwa hadi kutoa matokeo hayo!
 
Ndio maana mwamba JPM alimshughurikia huyu Eyakuze na viutafiti vyake vya kibwege...
He is Useless indeed...
Wananchi wanalalamika yeye anakuja na hii takataka very Sad indeed...
 
Nadhani wana hoji familia zao ndio zinatoa hayo majibu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…