Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Tuliambiwa😂 "ishi nao kwa akili"Kiroho Safi kabisa mama rhobi atatii amri😁😁...Sasa wewe weka baby baby tujifungie ndani siku nzima,ikifika saa kumi na moja njaa zinaanza huna hata ya kununua dagaa,ndio utajua baba Rhobi ana umuhimu gani
Hao kina baba robhi ndio wanachapiwa na bodaboda mabishoo