Twende kazi

Kiroho Safi kabisa mama rhobi atatii amri😁😁...Sasa wewe weka baby baby tujifungie ndani siku nzima,ikifika saa kumi na moja njaa zinaanza huna hata ya kununua dagaa,ndio utajua baba Rhobi ana umuhimu gani
Tuliambiwa😂 "ishi nao kwa akili"
Hao kina baba robhi ndio wanachapiwa na bodaboda mabishoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…