Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Manara alisema aliambiwa na Karia "Wana Yanga chupi zao zimejaa kinyesi". Haya maneno nani mwingine aliyasikia? Walikuwa wapi wao tu wawili? Ilikuaje?
Kama ilikuwa public kwa nini wengine hawakusikia? Itakuwa Haji ni katika kuendeleza utani wake kwa sisi wana Yanga kuna kipindi anajisahau.
Hili ni neno la kukwaza sana. Hawa wanyama ndiyo limekuwa tusi lao kubwa. Ni aibu hata kulitamka kwa watu.
Kama ilikuwa public kwa nini wengine hawakusikia? Itakuwa Haji ni katika kuendeleza utani wake kwa sisi wana Yanga kuna kipindi anajisahau.
Hili ni neno la kukwaza sana. Hawa wanyama ndiyo limekuwa tusi lao kubwa. Ni aibu hata kulitamka kwa watu.