Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mm nasema twende na Amber ruttyNi dhahiri kuwa nchi yetu inahitaji kitu kipya. Inahutaji mtu msikivu mcha Mungu na kijana.
Mwenye kujua dini na sio kuigiza.
Haye twende na January 2020
Wasambaa Bwana kwakupigiana chapuo!!!Ni dhahiri kuwa nchi yetu inahitaji kitu kipya. Inahutaji mtu msikivu mcha Mungu na kijana.
Mwenye kujua dini na sio kuigiza.
Haye twende na January 2020
CDM MWENYEKITI AONDOKE KWANZA, KWA NINI NI YEYE TUUUU...!Wasambaa Bwana kwakupigiana chapuo!!!
Watu wamekwisha chagua kwenda na Membe upande wa Ccm na CDM wapo na captain Lisu
Aaaa kuna pastor kamdhamini tayari.Mm nasema twende na Amber rutty
Dogo rudi kwenye jukwaa la wanaume wa dar. Huku hupaweziTwende wapi?
Hahahaha!1Twendeni na mimi jamani,
Duuh hehehhe hili dongo la kufungia mwakaDogo rudi kwenye jukwaa la wanaume wa dar. Huku hupawezi
Dogo rudi kwenye jukwaa la wanaume wa dar. Huku hupawezi
Duuh hehehhe hili dongo la kufungia mwaka
Aah brother kwani mimi na wewe tuna ugomvi?Naona unanitafuta kwenye anga zangu.!
Aaaaa kwema lakini?Dogo ulicho kiandika, umeandika ukiwa umebaniwa mzigo na yule kidosho dosho wako.