Twende na Paka kauzu, unaukumbuka msemo gani unaoendana na huyu paka?

Twende na Paka kauzu, unaukumbuka msemo gani unaoendana na huyu paka?

Ramon Abbas

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,964
Reaction score
3,913
Weka kauli yoyote ambayo uliwahi kuiona inayoendana na huyu paka kauzu

FB_IMG_1633774875213.jpg
 
Kaniitie dada yako!.. mi nikaenda kumuita baba akafurumushwa kesho yake nikakutananae mtaani! Ndo siku niliyojua Kuna aina tofauti tofauti za milio ya makwenzi!.
😅😅😅🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom