Twende na Paka kauzu, unaukumbuka msemo gani unaoendana na huyu paka?

Twende na Paka kauzu, unaukumbuka msemo gani unaoendana na huyu paka?

Huyo [emoji23][emoji23]
FB_IMG_1633089131464.jpg
 
Kaniitie dada yako!.. mi nikaenda kumuita baba akafurumushwa kesho yake nikakutananae mtaani! Ndo siku niliyojua Kuna aina tofauti tofauti za milio ya makwenzi!.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliegundgua hii comedy ajengewe kisanam chake aisee[emoji28][emoji28][emoji28]

"Naweza kutoa ada nusu halaf mwanang asome mwisho saa 4"[emoji23][emoji23]
yaani huyu paka anatuchekesha aiseee tumemusahau rais zuma
 
Back
Top Bottom