Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣😅😅😅Anaeandika hayo maneno abarikiwe au acha tu azidi kuwa na laana😎😎
[emoji23][emoji23][emoji23]Kaniitie dada yako!.. mi nikaenda kumuita baba akafurumushwa kesho yake nikakutananae mtaani! Ndo siku niliyojua Kuna aina tofauti tofauti za milio ya makwenzi!.
yaani huyu paka anatuchekesha aiseee tumemusahau rais zumaAliegundgua hii comedy ajengewe kisanam chake aisee[emoji28][emoji28][emoji28]
"Naweza kutoa ada nusu halaf mwanang asome mwisho saa 4"[emoji23][emoji23]
uuuuwiiiiNikopeshe effu10 kama huna nipe elfu3 hiyo elfu7 nitakudai
Nikopeshe Ten hapo, kama hauna nigei buku mbili nitakudai buku 8Nipakulie wali wa mia 3 bila mboga ila kwa kutumia mwiko uliopakulia mchuzi 😂😂😂aisee nilicheka sana walahi!