peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Utajua pa kwendaTwende naye wapi?
1. Wafanyakazi wote wa umma hata mashirika binafsi twende na Tundu
2. Wote waliolazimisha kurejesha mkopo wa HSLB 15% badala ya 8% ilokuwepo kwenye mkataba Oct .28 Twende na Tundu Lissu
3. Wafanyakazi wote ambao wakifukuzwa kazi kwa madai ya vyeti fake hawakulipwa pesa zao za mifuko ya hifadhi ya Jamii Oct 28 Twende na Tundu Lissu
4. Wastaafu wote mliostaafu is toka 2016 hamjalipwa kiinua mgongo chenu mpaka sasa Octoba 28 Twende na Tundu Lissu.
5. Watanzania wote walobomolewa nyumba zao bila malipo. Oct 28 twende na Tundu Lissu
6. Watanzania wote wakobambikizwa mikesi ya uhujumu uchumi Oct 28 twende na Tundu Lissu
7. Wakina mama na dada wote ambao wamechoka kudhalilishwa majukwaani. Oct 28 twende na Tundu Lissu.
8. Maras wastaafu wote mlijaribu k
Asijimwambafai basi maana hela atakazotumia sio zake pia.Huyu John za kununulia madege yasiyo na kazi anazitoa wapi? Si ni kodi zetu? Msitufokee.
Sawa mlevi wa Lissu Lager!Kwani huyo unayemsifu pesa anatoa mfukoni mwake? Pesa zote ni za wananchi hivyo lissu ataratibu tu kama huyo Mr. Misifa anayedhalilisha watu majukwaani.
Sawa subirieni huyo Lissu awe raisi basi muone kama ni rahisi.Kwani fedha zilizojenga AirPort Chato na kupeleka wanyama chato mlizitoa wapi????
Kwani Kikwete aliyekuwa anaongeza mshahara kila mwaka alikuwa anatoa wapi hela???!
Tukutane OctoberSawa subirieni huyo Lissu awe raisi basi muone kama ni rahisi.
Wewe jamaa Extrovert nilikuwa nakuchukulia akili kubwa kumbe hola! Futa hii post inakudhalilisha.Kwamba TL hela za kulipa hao watu yeye atazitoa Mfukoni mwake? Ama ndio tutarudishana zama za wananchi kuomba serikali ipeleke hela za miradi kisha wakurugenzi na wakuu wa wilaya kuzitafuna bila huruma huku wananchi wakizidi kulia?
Kwani yule mjenga madaraja , mafly over ,ndege za chato pesa yy alizitoa wapiKwamba TL hela za kulipa hao watu yeye atazitoa Mfukoni mwake? Ama ndio tutarudishana zama za wananchi kuomba serikali ipeleke hela za miradi kisha wakurugenzi na wakuu wa wilaya kuzitafuna bila huruma huku wananchi wakizidi kulia?