Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaaaMwamba anarudi leo kutoka ugaibuni. Tumpokee tumsindikize kwa Kingai
notedKama JKNIA kwa kirefu una maananisha "Julius Kambarage Nyerere
International Airport", basi kifupi cha jina hilo kilibadirishwa enzi za Mhe. Basil Mramba wakati akiwa Waziri wa Ujenzi kwa sababu eti Wazungu walikuwa wakishindwa kulitamka jina la "Kambarage" na hivyo kifupi chake kuwa "JNIA" hadi Leo hii.
Unavyomtukuza!
Tundu Lissu ana hamu ya kukutana na Kingai kwenye battle bahati yake sasa hivi ni disiai
umelogwa na samia na kinana na kasimu na msando, na kingai na kitila mkumbo na jecha, na finally CCM 😀 😀 😀 😀 😀Wahed kbsa uache kujitafutie ridhiki Kweli ukampokee lissu aliyeshiba vibaya mno pesa za ubunge na uwakili na dili zingine za kibeberu anazopewa huko ubeligiji
Nampenda lkn siwezi kwenda kumpokea aisee akapokelwew na dci kingai ,Kwanza anatakiwa aripoti ktk ofc za makosa ya jinai kwa kumuita rais kuwa akili zake Ni "matope"
Safari hi watamuweka ndani View attachment 2699570
Huyo Lissu mwenyewe anatumwa na mabeberu, anamshambulia mama eti tu kisa wawekezaji wana asili ya uarabu, huyu jamaa mnafiki sanaTunamsubiri kwa hamu kubwa, aje apambe vilivyo na hao waujumu wa Tanganyika yetu.
LISSU + MWAMBUKUSI=.....
JKNIA ndio airport ya wapi hiyo?