Twendeni tu tutafika! (Siasa zetu na Hatma ya Tanzania)

GuDume the philosopher
 
Hahahaa sawa
 
Wanaccm kinachowapa kiburi ni kodi zetu
 
Kwakweli nilitaka nipite hapa bila kusema kitu lakn kwa maslahi ya taifa langu wacha niseme neno...

Kwa hili la mbowe kiukweli kinatutia doa sisi kama taifa ingawa kama ni madoa tunayo mengiπŸ˜†sasa napata shida kidogo kuamini kama jambo hili linabaraka za mama🀭ingawa kama nataka kuamini hivi kama linabaraka zake

Kama ni kweli basi mama amefanya makosa na na ndio maana imani kwa mama imeanza kuondolewa ikiwa bado ni mapema mno tangu tulipoanza kuwa na imani nae

Sasa ushauri wangu ni kwamba badala ya mama pamoja na IGP kuendelea kumsweka ndani ni bora wakamuachia then wakawaita hawa wapinzani ili waweze kufanya mazungumzo ya pamoja kujua wanalimalizaje hili la katiba mpya lkn kitendo cha yeye kuendelea kuwapotezea wapinzani kinasababisha haya kuendelea.
 
πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
 
SAwa
Sawa. Tumetembea kama taifa huru miaka 60 bila kujua wala kufika tuendapo. Tunahitaji katiba mpya ili tujue na kufika tuendapo. Tumuache Mzee CCM apumzike kwa amani.
No Comment.
 
Nataka nikupe Taarifa kwamba Huyo aliyegongwa na Nyoka mkamfunga Kamba shingoni Kwa amri ya Mzee wenu katili, aliokolewa na wapita njia na kuhudumiwa kienyeji Kwa misaada ya wasio ndugu zake na mpaka Leo kuwa kwake hai ni miongoni mwa miujiza. Yule Kaka yako aliyeshauri mkaze Kamba shingoni mwa mgonjwa ili aache kukoroma kabisa alishafukuzwa na mama yenu na mpaka Leo haijulikani amesimama au amekaa. Mara aonekane Kapernaum akimtafuta mke wa Yesu mara aonekane Canterbury akifagia kanisani, kiujumla kwake siku hizi Moja haikai mbili haikai yaani yupo yupo tu.
 
Safari bado ni yenye mashaka na uelekeo haujulikani mpaka leo. πŸ˜”
 
Mwenzetu mmoja akagongwa na nyoka kichwani. Mzee akatwambia kama amegongwa na nyoka kichwani tumfunge kamba shingoni tukaze sana ili damu yenye sumu isipite kuja moyoni. Tukafanya hivyo. Tulikaza sana mpaka akaanza kukoroma huku ametoa macho.
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…