CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Haya hayaa wale wazee wa kupitisha milioni 15 kwa WALEZI have done it again, call them UTOPOLO, UTOPWENGA, UTOPWINYO waharibifu wa logo na brand za wenzao kudadekii majitu ambayo logo yao ni mbaaya kishenzi hadi ina mabondia na wacheza netball
hay bwana kikao kimekaa jana na NBC wamekubaliana twiga awe mweusi na mlima kilimnajaro uwe na theluji ya kijani
UUUWIII Uto kama uto ila kule CAF kwenye makundi logo ya wadhamini wa TOTAL ile nyekundu walivaa ,shenziiiiiiiii
hay bwana kikao kimekaa jana na NBC wamekubaliana twiga awe mweusi na mlima kilimnajaro uwe na theluji ya kijani
UUUWIII Uto kama uto ila kule CAF kwenye makundi logo ya wadhamini wa TOTAL ile nyekundu walivaa ,shenziiiiiiiii