Twiga kwenye jezi ya Yanga atakuwa mweusi mlima wa kijani

Twiga kwenye jezi ya Yanga atakuwa mweusi mlima wa kijani

20211006_120212.jpg
 
Siku wakiktaaa kuvaa hii kwenye CAF nitawaona kweli wana msimamo hawa wabaki kuwonea vodacom Tz na Nbc wajaribu kuleta fyokofyoko kwa CAF kwamba TOTAL wabadilishe maandishi ya rangi nyekundu..HALAFU RANGI YA KIJANI NA NJANO KWENYE LOGO HUWA INATUMIWA NA WAKULIMA WA MAHINDI AU WANAOKOBOA MAHINDI AU WATU WA MAZINGIRA ,MAKAMPUNI SERIOUS NI BLUE ,RED AND WHITE
Screen Shot 2021-10-06 at 12.29.49.png
 
Ni kitu cha kawaida...

Mfano tazama Man U walivyobadili rangi za TeamViewer kutoka bluu/nyeupe na kuwa nyekundu/nyeupe ili kuendana na rangi yao mama...
Ulisoma shule au ulisomea ujinga? Man u wale ni wadhamini binafsi hawa nbc wameingia mkataba na tff/bodi ya ligi. Tofautisha hapo kwanza.
 
Unaumri gani mwenye akili timamu huwezi kuandka hivi, wewe utakuwa Ke wa kwamfuga umbwa maana unamaneno ya shobo kweli
Hata mimi nilikua najiuliza muda huu, hivi wadau wa hili jukwaa la michezo tumekosea wapi kiasi cha kuruhusu watu wenye hulka za aina ya mtoa mada kujimilikisha hili jukwaa!

Kuna yule mwenzake mwingine yule! Anaitwa nani sijui!! Wakija na mada zai humu, unashindwa kuelewa kama tuko jukwaa la Wambea na Mashangingi ya mjini, au jukwaa pendwa la michezo!
 
Hata mimi nilikua najiuliza muda huu, hivi wadau wa hili jukwaa la michezo tumekosea wapi kiasi cha kuruhusu watu wenye hulka za aina ya mtoa mada kujimilikisha hili jukwaa!

Kuna yule mwenzake mwingine yule! Anaitwa nani sijui!! Wakija na mada zai humu, unashindwa kuelewa kama tuko jukwaa la Wambea na Mashangingi ya mjini, au jukwaa pendwa la michezo!
kunywa maji mkuu baadaye hii habari inakuja kuwa confirmed nitasubiri an apology from you
 
Mtajibeba haters
Haya hayaa wale wazee wa kupitisha milioni 15 kwa WALEZI have done it again, call them UTOPOLO, UTOPWENGA, UTOPWINYO waharibifu wa logo na brand za wenzao kudadekii majitu ambayo logo yao ni mbaaya kishenzi hadi ina mabondia na wacheza netball

hay bwana kikao kimekaa jana na NBC wamekubaliana twiga awe mweusi na mlima kilimnajaro uwe na theluji ya kijani

UUUWIII Uto kama uto ila kule CAF kwenye makundi logo ya wadhamini wa TOTAL ile nyekundu walivaa ,shenziiiiiiiii
 
Unafuatilia mpira ?
Mechi zote za Simba kuanzia makundi hadi robo fainali za Champions League huwa wanawekewa logo yenye ukijani kwenye mabega.

Hebu kumbuka vema mkuu, kama huwezi kukumbuka, basi utakumbushwa na sisi.

Hapa ni dhidi ya AS Vita

View attachment 1965236

Hapa ni dhidi ya Al Ahly
View attachment 1965242
Na hapa ni dhidi ya Kaizer Chiefs
View attachment 1965243

Labda kama una jingine, karibu
safi sana club ninayoikubali kwa kuongoza kwa kufungwa mbele ya marais simba haya akihudhuria mechi rais wa bao lazima wafungwe!
 
Siku wakiktaaa kuvaa hii kwenye CAF nitawaona kweli wana msimamo hawa wabaki kuwonea vodacom Tz na Nbc wajaribu kuleta fyokofyoko kwa CAF kwamba TOTAL wabadilishe maandishi ya rangi nyekundu..HALAFU RANGI YA KIJANI NA NJANO KWENYE LOGO HUWA INATUMIWA NA WAKULIMA WA MAHINDI AU WANAOKOBOA MAHINDI AU WATU WA MAZINGIRA ,MAKAMPUNI SERIOUS NI BLUE ,RED AND WHITE
View attachment 1965325

Kwanza hata uwezo wa kufika huko wanao basi? Hawa ni wa hapa hapa tu,very local
 
Ndiyo hiyo wamepewa jana walikuwa na kika o na NBC sema theluji ni ya kijani(lol)

“Pale Jangwani wenye akili ni JK na Sunday Manara basi,wengine wote linapokuja swala la Yanga yao si Mwenye PHD hadi Kuli wote akili zao zinakuwa sawa sawa” by Haji Manara
 
Ulisoma shule au ulisomea ujinga? Man u wale ni wadhamini binafsi hawa nbc wameingia mkataba na tff/bodi ya ligi. Tofautisha hapo kwanza.

Watanzania sijui huwa mlijambwa...yaani akili zenu zipo very direct, huwezi hata kutumia wasaa kidogo kunyumbulisha maarifa

Usikimbilie ku-quote mtu na kuanza kejeli kama hujaelewa
 
Watanzania sijui huwa mlijambwa...yaani akili zenu zipo very direct, huwezi hata kutumia wasaa kidogo kunyumbulisha maarifa

Usikimbilie ku-quote mtu na kuanza kejeli kama hujaelewa
Wewe ndio una mawazo mgando kutumia mfano wa man u na nbc ni vitu viwili tofauti kabisa. Nakukumbusha unapayuka visivyoeleweka. Narudia.
Man u kwa View team ni wadhamini binafsi wa timu. Nbc ni wadhamini wa ligi wameingia na bodi/tff elewa tofauti hiyo kwanza ndo ulete hoja zako dogo.
 
Back
Top Bottom