kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses.....
Musk alikosea sana kufukuza fukuza watu hovyo, mm shabiki yake lkn kwa hilo alikosea, makampuni mengi yamefanya layoff ila yanaenda polepole sio kwa speed ya kufukuza watu wengi kiasi kile.
Sasa watu wamedukua twitter masaa mawili yalopita, data za zaidi ya watumiaji million 400 zinauzwa huko breached.vc
Soma zaidi hapa
breached.vc
Musk alikosea sana kufukuza fukuza watu hovyo, mm shabiki yake lkn kwa hilo alikosea, makampuni mengi yamefanya layoff ila yanaenda polepole sio kwa speed ya kufukuza watu wengi kiasi kile.
Sasa watu wamedukua twitter masaa mawili yalopita, data za zaidi ya watumiaji million 400 zinauzwa huko breached.vc
Soma zaidi hapa
Twitter Data Breach +400 million users | BreachForums
Hello dear breached usersI'm selling data of +400 million unique twitter users that was scraped via...
breached.vc