TWITTER API HACKED: Mamillion ya data za watumiaji wa twitter yanauzwa

TWITTER API HACKED: Mamillion ya data za watumiaji wa twitter yanauzwa

Wacha waisome namba. Wamenipiga ban bila kosa. Mimi ni mtu wa kusoma tu habari nashangaa nimelambwa ban.
 
Hii ni story ya kutunga...na waliotunga ni mashoga wa Liberals (Democratic)
 
Nawaza namna ya kudukua API za voda ,tigo,nmb mkononi na zingine Sasa sijui nianzie wap
 
Back
Top Bottom