Twitter get together ilifanyika juzi, lini JF?

Sure wakuu tuaandae moja, niliwahi kuudhuria moja enzi za @lara1 mikocheni nyingine ni kwenye kutimiza mwaka mmoja was kifo cha Regia Mtema pale peackock mnazi mmoja wanajf tulikuwa wengi sana.
Nakumbuka sikuhiyo mkuu figganigga ndio alikuwa anatoa updates humu ndani.
 
Hii ya JF ikitokea nitaomba location

Uzuri tunakutana lakini hutajua umekutana kwa ID gani na ya nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…