hakuna mambo ka ya inst kule ni mtu mzima tuu ndo anaweza tumia yani zile kauli za tweets, following. followers na replies, kule hakuna mapicha picha ka ya inst. mkuu karibu tu tweets.
majibu ya msing ni hivi ile ni social network ya kitambo na ilianzishwa 2006 ikiwa ni social network ya awali na ikapata watumiaji wengi sana miaka hiyo so zilipokuja mitandao mingine ya kijamii ikaikuta twitter ilishaweka mizizi
Pia mfuwa wa twitter wa kiusalama na kisiri ni mzuri na salama zaidi ukilinganisha mitandao mingine kama fb na inst, sidhan ka ulishawahi sikia mtu akilalamika kaibiwa a/c yake ya twitter
Pia twitter imekuw aka sehemu ya umaarufu, sehemu ya watu wazito yani ni kama mtu kumilik BMW na magari mengine ya kifahari