Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
- Thread starter
- #21
Mo apate hasara asipate hasara, we inakuhusu nini?
Kumbuka mpira ni kama siasa tu iliyojaa mbinu kibao, kwani yeye ku-post vile mtandaoni unajuaje kama ndo mbinu ya kuipa Simba mafanikio kwa kuwachanganya wapinzani wake.
Sote tunajua uwekezaji wa Mo pale Simba wapinzani wake hawaupendi, wanatamani Simba iwe kama yao.
Mbona huo uwanja wa bunju haukujengwa kabla ya Mo kuwekeza?
Nachelea kusema uwekezaji wa Mo tangu aje Simba umechangia more than 75% Simba kuanza ujenzi wa ule uwanja.
MAONI: NA nyie tafuteni muwekezaji wenu wa uhakika na siyo kubakia kupiga majungu club ya Simba
I don’t understand;
1. More than 75% , hii figure based on what ?
2. Majungu, Wapinzani, Siasa, how does these words relate to our discussion ?
You are too subjective; you don’t have mental strength to debate on big things.
Go and Do the dishes, good for you!