Twitter siku hizi imevamiwa na 'wapwa' na 'mabloo', imekuwa ya hovyo sijawahi kuona

Twitter siku hizi imevamiwa na 'wapwa' na 'mabloo', imekuwa ya hovyo sijawahi kuona

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Mimi niko kwenye mitandao ya kijamii kadhaa kkiwemo Twitter kwa muda mrefu kidogo.

Hivyo kwa muda nilikua nikifurahia michango ya watanzania wenzangu ya kisomi kabisa Twitter na JF ila sasa Twitter imekua ya hovyo sijawahi kuona.

Twitter ya sasa imevamiwa na makundi ya wavuta bangi wanajiita wapwa, mabloo, yaani hakuna cha maana wanachokiandika zaidi ya kuomba wainuane, wainuane na wakishainuana mtu akawa na wafuasi kuanzia elfu 10 basi anabadili status anajiita motivation speaker.

Hii imechangiwa pakubwa kwa ujio wa bonanza za Tanzanians on Twitter. Hii bonaza ukiacha nia njema ya waanzilishi wake imeruhusu magenge ya wahuni na wavuta bangi kujipenyeza sasa wameharibu kabisa ladha ya Twitter. Zamani tulizoea parodies(wanaume kufungua account kwa majina ya kike na kuweka picha za kike) yalikua yamejazana facebook ila sasa yamehamia twitter, yamejiungana na mabloo na wapwa kuinuana imekua shida tupu.

Ni bora Instagram kuliko Twitter kwa sasa.
 
Mimi niko kwenye mitandao ya kijamii kadhaa kkiwemo Twitter kwa muda mrefu kidogo.

Hivyo kwa muda nilikua nikifurahia michango ya watanzania wenzangu ya kisomi kabisa Twitter na JF ila sasa Twitter imekua ya hovyo sijawahi kuona.

Twitter ya sasa imevamiwa na makundi ya wavuta bangi wanajiita wapwa, mabloo, yaani hakuna cha maana wanachokiandika zaidi ya kuomba wainuane, wainuane na wakishainuana mtu akawa na wafuasi kuanzia elfu 10 basi anabadili status anajiita motivation speaker.

Hii imechangiwa pakubwa kwa ujio wa bonanza za Tanzanians on Twitter. Hii bonaza ukiacha nia njema ya waanzilishi wake imeruhusu magenge ya wahuni na wavuta bangi kujipenyeza sasa wameharibu kabisa ladha ya Twitter. Zamani tulizoea parodies(wanaume kufungua account kwa majina ya kike na kuweka picha za kike) yalikua yamejazana facebook ila sasa yamehamia twitter, yamejngana na mabloo na wapwa kuinuana imekua shida tupu.

Ni bora Instagram kuliko twitter kwa sasa.
Huko twitter niko kwa sababu ya kupata habari, yale mambo ya tuinuane huwa napga chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niko kwenye mitandao ya kijamii kadhaa kkiwemo Twitter kwa muda mrefu kidogo.

Hivyo kwa muda nilikua nikifurahia michango ya watanzania wenzangu ya kisomi kabisa Twitter na JF ila sasa Twitter imekua ya hovyo sijawahi kuona.

Twitter ya sasa imevamiwa na makundi ya wavuta bangi wanajiita wapwa, mabloo, yaani hakuna cha maana wanachokiandika zaidi ya kuomba wainuane, wainuane na wakishainuana mtu akawa na wafuasi kuanzia elfu 10 basi anabadili status anajiita motivation speaker.

Hii imechangiwa pakubwa kwa ujio wa bonanza za Tanzanians on Twitter. Hii bonaza ukiacha nia njema ya waanzilishi wake imeruhusu magenge ya wahuni na wavuta bangi kujipenyeza sasa wameharibu kabisa ladha ya Twitter. Zamani tulizoea parodies(wanaume kufungua account kwa majina ya kike na kuweka picha za kike) yalikua yamejazana facebook ila sasa yamehamia twitter, yamejngana na mabloo na wapwa kuinuana imekua shida tupu.

Ni bora Instagram kuliko twitter kwa sasa.
mimi nilishaiondoa kabisa kwenye simu yangu.
yani twita imekua zaidi ya insta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa niaba ya wavuta bangi wote duniani na Tanzania kwa jumla. Nachukua nafasi hii kumpingaa mtoa mada. Hayo mambo yenu ya Twitter ni yenu hayatuhusu. Wavuta bangi hatuna mambo mengi. Ni watu tunaoongoza kwa ku mind biashara zenu. Address us with respect!"
 
Hiki kitu niliona mheshimiwa kigwangalla anaulizia juzi eti "wapwa" ni akina nani?🤣🤣🤣 now nimepata picha halisi.
 
Kwa niaba ya wavuta bangi wote duniani na Tanzania kwa jumla. Nachukua nafasi hii kumpingaa mtoa mada. Hayo mambo yenu ya Twitter ni yenu hayatuhusu. Wavuta bangi hatuna mambo mengi. Ni watu tunaoongoza kwa ku mind biashara zenu. Address us with respect!"
Umeanza lin kuvuta bangi epidemiologist??

Sent by IPhone
 
Back
Top Bottom