Twitter wafuta akaunti ya Rais Trump

Twitter wafuta akaunti ya Rais Trump

Mkuu upo viunga vya Detroit nini!? Mbona mkali hivi!?
Tanzania is in crisis. Mabiashara yanafungwa kila kona. Watu ajira hawana kabisa na maisha yanakuwa magumu mnoo. Why care about USA. Marekani will be fine, trust me. Lakini tanzania i am not so sure.
 
Going to sleep. Saa saba na nusu usiku mida hii (Tanzania itakuwa saa sita na nusu mchana). Will catch up with JF later.
Saa7 saivi usiku US ,are you serious?
Ninachojua tuna difference ya 7hrs and in some states inaenda mpaka 8hrs ,so how come now ni saa 6 mchana huku kwetu huko iwe saa 7?
 
Me nilikua naiomba serkali iwaangalie watu aina ya huyo mwamba kwa jicho makini kama analo tazamwa gaidi.

Maana hako katabia (kumtukana Rais kuidhalilisha nchi) kanakua kila kukicha.

Kalianzia mitandaoni lakini sasa naona mpaka mtaani kanaanza kuota mizizi.

Kwa kweli huwa silipendi jina la JIWE na mengine ya kipuuzi, wanayo tumia kumfananisha Mh. Raisi.

Kwangu huo ni ushamba na kukosa adabu kwa vijana wengi hapa nchini.

Angetolewa mfano mmoja wapo ingekua poa sana.
Kuna mmoja nimesoma thread humu ana siku ya 244 korokoroni! Na yeye alikuwa bingwa wa kutukana huku wanamshangilia ila leo yuko peke yake ndani.
 
Tanzania is in crisis. Mabiashara yanafungwa kila kona. Watu ajira hawana kabisa na maisha yanakuwa magumu mnoo. Why care about USA. Marekani will be fine, trust me. Lakini tanzania i am not so sure.
USA is in serious trouble right now! Kuanzia korona,uchaguzi,uchumi ni kizungumkuti. Usiniambie huoni biashara zinavyokufa USA, na watu wanavyopoteza kazi USA.
 
USA is in serious trouble right now! Kuanzia korona,uchaguzi,uchumi ni kizungumkuti. Usiniambie huoni biashara zinavyokufa USA, na watu wanavyopoteza kazi USA.
USA inakuhusu nini ww? Wala, hali sio mbaya kivile. Media tu. Mie ndio niko huku nakuambia sasa. Ila waafrika ndio maana mtaendelea kuwa maskini. Ni umbeya na longolongo za maisha ya wengine. Wakati kundulo chafu wala haulioni na haufikirii namna ya kulisafisha
 
USA inakuhusu nini ww? Wala, hali sio mbaya kivile. Media tu. Mie ndio niko huku nakuambia sasa. Ila waafrika ndio maana mtaendelea kuwa maskini. Ni umbeya na longolongo za maisha ya wengine. Wakati kundulo chafu wala haulioni na haufikirii namna ya kulisafisha
Dogo uko US au Tandale mbona mdomo mchafu hivyo?
 
Dogo uko US au Tandale mbona mdomo mchafu hivyo?
Ukiambiwa ukweli unasema mdomo mchafu. I am just speaking the truth about tanzanians 100%. Sad zaidi hata tanzanians in USA wana tabia hizo hizo. Wanaanza kufuatiliana nani ana nini. Kanunua gari gani nk. Mie hata jumuiya za waTz siku hizi I don't meet up with them anymore. Mnatakiwa ku-focus kujiendeleza ww binafsi na familia yako na sio kusema sema watu wengine tu.

As for USA ni makazi yangu ya pili. Tanzanian citizen and US permanent resident. Ila ww kuamini au kutoamini is none of my business sababu hainiongezei wala kunipunguzia kitu maishani
 
Ukiambiwa ukweli unasema mdomo mchafu. I am just speaking the truth about tanzanians 100%. Sad zaidi hata tanzanians in USA wana tabia hizo hizo. Wanaanza kufuatiliana nani ana nini. Kanunua gari gani nk. Mie hata jumuiya za waTz siku hizi I don't meet up with them anymore. Mnatakiwa ku-focus kujiendeleza ww binafsi na familia yako na sio kusema sema watu wengine tu.

As for USA ni makazi yangu ya pili. Tanzanian citizen and US permanent resident. Ila kuamini au kutoamini is none of my business sababy hainiongezea wala kunipunguzia kitu maishani
You got issues.
 
USA gari ni kitu kidogo sana. Unless kama gari ni jipya. And yes.. kupata kwa bank loan also is super easy as long as u have a job. Almost kila mtu ana gari. Issue ni nyumba na sehemu ya kuishi. San diego mfano mie ninapoishi cheapest 1 bedroom apartment ni $2000. Bado haujala, haujalipia insurance.

Kwa hio watu wanakuwa homeless wengi sana. Hilo ni tatizo waTz hatuna sababu mtu unajenga tu nyumba hata isiyo na choo wala bafu. USA for the most part, only rich folks kama Donald Trump ndio wanaweza jenga kisha wanauzia bank, ambayo ndio inauzia watu binafsi. Bureacracy ni kali sana kwa hio hauwezi tu jenga. Ni process ndefu na very expensive kupata kibali na ruhusa ya ujenzi.

Kwa hio yes. USA kuna watu wengi sana wenye hali mbaya sana kuliko hata watz wa hali ya chini. Tunawaona kila siku wanalala mabarabarani, madarajani nk. Baadaye maisha yanamfanya mtu anaingia kwa madawa kupoteza mawazo ndio anapotea kimoja kimaisha. Japo middle class ni kubwa na lowest class ni ndogo.. issue ni kwamba watu wa lowest class USA afadhali wa lowest class wa tanzania. Sasa kama unalala kwenye baridi everyday, mvua inakupiga tu, na umelalia boksi, si afadhali aisee hata kuwa ndani ya nyumba ya matope?

Ila kwa hela na biashara USA mie binafsi imenisaidia na bado inanisaidia. Tz biashara wana bureacracy nyingi na kodi nyingi. Kwa hio kila sehemu ina uzuri na ubaya wake
 
Back
Top Bottom