Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

Twitter wamesema wameshuhudia mtandao wao ukiminywa nchini Tanzania

Pimbi mkubwa, bichwa utadhani kalio la nyani. Tunawakomesha wasaliti wakubwa, baada ya hapo lazima muisome namba wapumbavu kabisa.
Mkuu uliniagizaga dawa za asili za kuongeza makalio, mbona nikipiga simu yako anapokea mwanaume? Vipi na fistula bado inakusumbua kama kipindi kile?
 
Hii kitu mie ninayo kitambo but leo haifanyi kazi inanilazimisha ku_upgrade xokuna njia naweza fanya.msaada plzz mwenye kujua
Futilia mbali na download Vpn Master au Hotspot Shield
 
Screenshot (1337).png


Kwa wale wasio na VPN tweet ya Twitter hiyo hapo, Bila VPN hauwezi kuona hii post kwenye comment ya kwanza ata API za twitter nazo zinasumbua
 
Serikali dhalimu inayozima mitandao ya kijamii haistahili kurudishwa madarakani. Piga chini CCM mpya
CCM hawatachaguliwa bali wataiba kura tu hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura
 
Wewe huwa unatetea sanaa kila kitu afanyacho Magu sasa hata trailer halijaanza ushaanza lialia kuzima mitandao ni mojawapo ya kazi za JPM viva Magufuli binya hawa ccm wenzio mpaka wapate akili hawa na bado mitano yenu mbele hiyo ishafika utapiga sana mayowe hapa kazi tu
Magufuli mitano tena 😀😀😀😀😀
 
ICC tayari wanayo list ya kutosha mara baada ya uchaguzi watafikishwa ICC The Hague haraka iwezekanavyo
Magufuli awe wa kwanza kupelekwa, tena inapendeza akinyea debe hapa hapa Tanzania kwa ukatili na mauaji anayoendelea kuyafanya huku visiwani.
 
Eboooooo jiangalie juu chini.. ukimaliza.. jiambie uache wivu.. kama unawataka wataje wakusalimie....
Hahahaha yaani hivi kwanini hujui kuandika sentensi za kueleweka? Umefika hata darasa la saba kweli? We mrundi nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini makundi haya yamekimbia mtandao wa Twitter hadi serikali kuamua kuubana usifanye kazi kwa ubora na ufanisi hapa tanzania, bila vpn huwezi kuipata twitter. nini kifanyike.
 
Kwanini makundi haya yamekimbia mtandao wa Twitter hadi serikali kuamua kuubana usifanye kazi kwa ubora na ufanisi hapa tanzania, bila vpn huwezi kuipata twitter. nini kifanyike.
Wako bize na ujenzi wa Tanzania ya kisasa. Ova
 
Back
Top Bottom