Wakuu,
Binafsi naona hizo Brand nilizotaja hapo zimefail kubadilisha majina na itachukua miaka mingi watu kuendelea kutumia old names yaani Twitter na Tigo instead of X or Yas.
Ni brand gani nyingine zimefail kubadilisha majina yake?
Yas wangeweka iwe Yas Pesa, angalau tungeweza kuwasamehe. Lakini kuweka tena mambo yao mengine mengine meusi yasiyoeleweka, hakika wameboronga si kidogo.
Hakuna hata iliyofeli, ni mazoea tu. Hata tigo zaman ilikuwa mobitel wakaipa jina la tigo ila watu waliendelea kuita mobitel, wakaanza kuzoea taratibu mpaka tigo. So, ni suala la muda mtu kuzoea brand.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.