INAUZWA Two doors commercial fridge

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088

Friji lilitumika kwa mwezi mmoja kwenye biashara ya duka. Baada ya hapo, likakaa Bila kutuma Na hakuna ndoto tena ya kufungua biashara ya vinywani.
Friji liko DSM linafanya kazi vizuri sana.
Bei ni shilingi 800'000/- Maongezi yapo.

Call 0718560505
 
Hiyo juu ni namba ya mmiliki
 
Kama huna cha kukoment pita zako kimyakimya, ukinizingua nakupa za mbavu, upper cut chembe kidevu. Kata funua kimo cha mbuzi. Mimi ndio Angela Mao mwalimu wa Cynthia Rothroch
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu ipo 400000 kama itakulipa nicheki.Mambo yamebana
 
Kama huna cha kukoment pita zako kimyakimya, ukinizingua nakupa za mbavu, upper cut chembe kidevu. Kata funua kimo cha mbuzi. Mimi ndio Angela Mao mwalimu wa Cynthia Rothroch
[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…