eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Watu wengi wanapozipata hizi habari hufikiria tu kulaani haya matukio moja kwa moja lakini upande wa pili kama wametia pamba za masikio hawajui kwamba Kenya wamemimina majeshi yao kule somalia na wameuwa watu na waislamu na vichanga na ku disparate watu maelfu kwa maelfu katika makazi yao ya kudumu nchini somalia na hivi yanatokea haya bado Kenya inashikilia somalia.
Nadhan hili jambo ni baya zaidi na la kulaaniwa zaidi kuliko yote
kuna umuhimu wa kujongeleana kwenye meza ya mazungumzo ili kufikia muafaka.
siyo siku zote kupigana ni kujilinda.