Mbona mtoto wake yupo kwan hakuburudish naye
toka kifo chake msondo nayo dizain km ishakufa!
Penzi letu halikuanza zamani nae mwajabu,
nawala kamwe hatufanyi vishindo ooh mama
lakini tayari watu wameanza maneno yao
ndio maana mwanzo nilisema ulisikia
kwa kuwa tunapendana mengi utasikia lakini usijali
mimi sina wasiwasi bwana nimeyazoea
nimeishakuwa mtu mzima naelewa
penye penzi hapakosi tenzi wakale walisema
hauwezi kula mua bila kukuta fundo
Hapa moshi kule mbwembwe duh wanamuziki wameondoka wamebaki wachache na waimbaji wengiiii.