Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Alichobakiza ni kuwa na wimbo wenye streams billion 1 kwenye platform moja na kujaza Arena au Stadium.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida qualification za kushinda hio Grammy dah.......weee didi weee.........kikubwa ni kula fleva ila haya matuzo hasa kwa huku afrika didi katuvuruga🦕🦕🦕tuzo unapata hadi uliwe kiboga ooh......Ameachieve kila kitu kwenye muziki kwa kipindi kifupi kuanzia kuingiza ngoma Hot 100, kuingiza Billboard 200, kushinda tuzo ya Grammy na kushinda tuzo za BET.
Alichobakiza ni kuwa na wimbo wenye streams billion 1 kwenye platform moja na kujaza Arena au Stadium.
Kwahiyo unataka kusema Pdidy alimuwezesha??Mimi ni shabiki yake ila ana safari ndefu nyimbo zake hit ni 1 tu zingine zinachosha kusikiliza
Ukiona grammy jua tayari muhuri huo😁😁 diddy was hereKwahiyo unataka kusema Pdidy alimuwezesha??
Ile woter ni nyimbo kalii lakini ukisikiliza na nyimbo zake nyingine ni kama alibahatisha yule kwa Africa ni best female perfomerKwahiyo unataka kusema Pdidy alimuwezesha??
Mimi ndio kwaaanza nimemsikia hapa...si unajua tena sisi wazee?Ile woter ni nyimbo kalii lakini ukisikiliza na nyimbo zake nyingine ni kama alibahatisha yule kwa Africa ni best female perfomer
Huyu binti na zuchu nan mkali???Ile woter ni nyimbo kalii lakini ukisikiliza na nyimbo zake nyingine ni kama alibahatisha yule kwa Africa ni best female perfomer
Tylar 1 ni sawa na Zuchu 5Huyu binti na zuchu nan mkali???
Dah kwa zuchu tena mbona umemshusha sana,,,.......huyo sio levo za wakina zuchuHuyu binti na zuchu nan mkali???
Lazima awe na godfather wake, au ndo hivo keshaliwa tope.......ustaa una gharama zakeAmekua na [emoji294] ya kufika parefu fastaaa, ila sioni km ana deserve, maana [emoji457] enyewe ni 1 tyuuh. Nweiiii hongeraa yakee.
Duniani hapa hamna wakumzidi zuchhuu, mke WA diamondTylar 1 ni sawa na Zuchu 5
Yeye ameachieve bila kutumia Kolabo? Kwetu huku mtu akitaka kuacheive analipia kolabo kwanzaAmeachieve kila kitu kwenye muziki kwa kipindi kifupi kuanzia kuingiza ngoma Hot 100, kuingiza Billboard 200, kushinda tuzo ya Grammy na kushinda tuzo za BET.
Alichobakiza ni kuwa na wimbo wenye streams billion 1 kwenye platform moja na kujaza Arena au Stadium.
Behind the scenes tunatakiwa tumuonee huruma na sio kumpongeza maana ikitoka behind the scenes part 2 ya didy itakuwa balaa.Ameachieve kila kitu kwenye muziki kwa kipindi kifupi kuanzia kuingiza ngoma Hot 100, kuingiza Billboard 200, kushinda tuzo ya Grammy na kushinda tuzo za BET.
Alichobakiza ni kuwa na wimbo wenye streams billion 1 kwenye platform moja na kujaza Arena au Stadium.
Aahhh wapi kwa sababu ya water tu iliyotrend kupitia tiktok.Tylar 1 ni sawa na Zuchu 5