Lavit JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 14,834 Reaction score 32,522 Jul 3, 2024 #21 Mbona wa kawaida sana!
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Jul 4, 2024 #22 sumbai said: Huyu binti na zuchu nan mkali??? Click to expand... Zuchu ameachive nini mdau kwenye music
sumbai said: Huyu binti na zuchu nan mkali??? Click to expand... Zuchu ameachive nini mdau kwenye music
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Jul 4, 2024 #23 Naby Keita said: Lazima awe na godfather wake, au ndo hivo keshaliwa tope.......ustaa una gharama zake Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naby Keita said: Lazima awe na godfather wake, au ndo hivo keshaliwa tope.......ustaa una gharama zake Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
D DIRIMULAINA JF-Expert Member Joined Jul 12, 2018 Posts 921 Reaction score 1,720 Jul 6, 2024 #24 Naby Keita said: Shida qualification za kushinda hio Grammy dah.......weee didi weee.........kikubwa ni kula fleva ila haya matuzo hasa kwa huku afrika didi katuvuruga🦕🦕🦕tuzo unapata hadi uliwe kiboga ooh...... Click to expand... Acha didi awafyatue vinyeo maana hawaaliki, bali wanajipeleka wenyewe kusaka umaarufu...hata kesi wanazompa wanamuonea bure
Naby Keita said: Shida qualification za kushinda hio Grammy dah.......weee didi weee.........kikubwa ni kula fleva ila haya matuzo hasa kwa huku afrika didi katuvuruga🦕🦕🦕tuzo unapata hadi uliwe kiboga ooh...... Click to expand... Acha didi awafyatue vinyeo maana hawaaliki, bali wanajipeleka wenyewe kusaka umaarufu...hata kesi wanazompa wanamuonea bure