ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
Habari za wakati huu, nahitaji typewriters kadhaa, kwa mwenye nazo anipe location na mawasiliano ili tufanye biashara. Nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unahitaji ngapi kwa idadai mkuu na offer yako ikoje nikuunganishie sehemu chap uondoke na mzigo
unahitaji ngapi kwa idadai mkuu na offer yako ikoje nikuunganishie sehemu chap uondoke na mzigo
NAKUJIBU HADI SAA KUMI NGOJA NIULIZE KAMA ZITAFIKIA IDAD UNAYOTAKAmkuu kimya. nina shida nazo
Kutype official document kama transcript za secondary na document zingineKatika zama hizi za uwepo wa Computer hsyo madude ya mwaka 47 yanayoitwa typewriter yana kazi gani?
Vipi ulifanikiwa??
NAKUJIBU HADI SAA KUMI NGOJA NIULIZE KAMA ZITAFIKIA IDAD UNAYOTAKA
hizi mashine kuzipata mpaka uende kule maktaba au kule kwa ofisi za masijala za kioserikali maana hata mm nazitafuta muda mrefu sijafanikiwa labda kwa kuziagiza nje ya nchiHabari za wakati huu, nahitaji typewriters kadhaa, kwa mwenye nazo anipe location na mawasiliano ili tufanye biashara. Nawasilisha
kama unazo unauzaje mashine hizo bei ganiVipi ulifanikiwa??